Recent content by mo pal mo

  1. M

    Mfahamu Jenerali Ulimwengu, a True Pan-African Legend

    Alikua na cheo gani jeshini wadau?
  2. M

    Waziri Makamba, Uteuzi wako wa Mama Maajar kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO una mgongano wa maslahi

    Waziri Makamba Nakuomba kwa heshima na taadhima fuatilia tuhuma za tanesco mkulanga yule meneja wa pale a nakula rushwa yeye pamoja na baadhi ya watendaji, tume peleka malalamiko na amekua hayafanyii kazi tunajua kwamba uteuzi huu wa bodi ya wakurugenzi wa tanesco lengo ni kubolesha utendaji wa...
  3. M

    Waziri wa nishati aitangaze orodha ya Watanzania ambao Hadi Sasa wameshalipia Tsh 27,000 za kufungiwa umeme Mjini. Tanesco kuna mgomo baridi

    Mh waziri pale Tanesco mkuranga Meneja anawalea watendaji wanao kura rusha kwa kuchukua pesa za watu wakiwaahidi watawaunganishia umeme tume peleka tuhuma hizo lakini yule meneja wa tanesco mkuranga hazifanyii kazi mh waziri kwa dahamana uliyopewa na mamlaka uliyopewa ondoa yule meneja na...
  4. M

    Waziri wa nishati aitangaze orodha ya Watanzania ambao Hadi Sasa wameshalipia Tsh 27,000 za kufungiwa umeme Mjini. Tanesco kuna mgomo baridi

    Pamoja na yote hayo Tanesco mkuranga kuna urasimu sujawahi kuona watu wame omba umeme na wamesha lipia mpaka leo hawajaunganishiwa umeme mh waziri njoo office ya Tanesco mkuranga ujio ee madudu yaliyopo, na sijui hio kodi ya mjengo utakusanyaje
  5. M

    Pongezi kwa Meneja wa NSSF Kinondoni

    Nssf Temeke ni majanga bora huyo meneja wa ubungo kuliko limeneja la Temeke sfael anazingua
  6. M

    Fao la kujitoa NSSF; Rais Samia sikiliza kilio cha Watoto Wako

    Pale Nssf kuna dada wa data entry huyo Dada ni noma, mosi haingizi michango ya makampuni yaani analinga sana, pili meneja wa Nssf Temeke anambeba na pia ni kikwazo sana huyu Dada kwa kukwamisha madai ya watu, lakini viongozi wa Nssf Temeke bado wanamlinda, mfano nssf wanawaambia watu wana toa...
  7. M

    Aliyewahi Kutumia tv aina ya Star x na Evvoli

    Star x, boss, Mr uk ni tv zinazo tengenezwa vichochoroni china hata kwenye level za sido ya China hazifikii na hizi huwezi kuzilinganisha hata na Hisense Tcl Vizio, Skyworth etc
  8. M

    Aliyewahi Kutumia tv aina ya Star x na Evvoli

    Makao makuu yao ni unknown service centre hakuna.
  9. M

    Aliyewahi Kutumia tv aina ya Star x na Evvoli

    Evvoli sio waitaliano ila ni bland name ambayo imebuniwa dubai na inatengenezwa china
  10. M

    Wakuu Huyu Sabaya ni hatari. Ukweli huu hapa

    Bado yule ocd wa hai nae ilitakiwa asimamishwe kazi ili apishe uchunguzi.
  11. M

    Ipi flat screen bora kati ya matoleo haya?

    Na Sony sija wahi ona fake zote ni ngangali
Back
Top Bottom