Recent content by Mo makambako

  1. Mo makambako

    Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

    Sjajua kisheria imekaaje. But wajuvi mnijuze. Kukiri kosa ni defence....je inatosha kumuacha mtubhuru??
  2. Mo makambako

    Je, Wabunge Viti Maalum ni wa kubebwa? Mnaonaje iwe ni awamu moja tuu kisha waendeni jimboni, kupisha wengine, au waendelee kubebwa tu?

    Nahis gender equality kama wangekua 50%___50%....au mwanaume akiwa na nguvu ni faulo AF mwanamke akiwa Nazo ni superior
  3. Mo makambako

    Tabia ya muungwana-kutoka kwa mkanyaji

    Mada ya Mja hunena,muungwana ni vitendo Muungwana amenuna,kachkia zangu nyendo Muungwana uje nena,utuoneshe upendo Muungwana sema tena,ufungue hili fundo Muungwana huna habari,yakuwa mi ndugu yako Muungwana una Shari,misimamo ndio yako Muungwana hunijari,yakua mi damu yako Mada ya...
  4. Mo makambako

    Amekuibia mume

    Idd Ninga, Punguza kiherehere,ninga wauwa ndoa Usiigonge kengere,wengine watasikia Kula wali njegere,NATO maji gugumia Raha ya mume wanne,tabu ni namba tatu Ya matumizi naacha,kwa Jane hadi kwa tabu Siwavalishi chachacha,ndo uone maajabu Na sivujishi pakacha,mchukuzi sina tabu Raha ya mume...
  5. Mo makambako

    TBC mliwezaje kutangaza live mikutano ya Prof Kabudi kule Marekani na Sweden lakini mnashindwa kuonyesha Afcon?

    For sure wanaonesha uzinduzi tu na miradi iliyojengwa...kwa jasho LA RAIA ikipigwa nembo ya jembe na nyundo
  6. Mo makambako

    Sweden yapunguza misaada kwa Tanzania kuwa 75% kwa miaka mitano ijayo

    Kingine wajuvi wautawala mniume sikio hapa....hivi mataifa makubwa huwa yanatoa msaada au mikopo.....maana naona ubongo wangu unafeli kuipata tafsiri halisi na uhalisia
  7. Mo makambako

    Sweden yapunguza misaada kwa Tanzania kuwa 75% kwa miaka mitano ijayo

    Conclusively hiyo deficit ni kubwa na ulikua inachangia kubalance budget ....mataifa meng yatapunguza msaada and its going to be worst ,,,advice serikali irudishe cost sharing in education kubalance budget. Mfano shule ya kata yenye wanafunz 1000 itapokea kusanyo la ada la Tsh 20,000,000...
  8. Mo makambako

    Sweden yapunguza misaada kwa Tanzania kuwa 75% kwa miaka mitano ijayo

    Impossible kutowategemea...kwan tunawalipa nini. Syston,
  9. Mo makambako

    Sweden yapunguza misaada kwa Tanzania kuwa 75% kwa miaka mitano ijayo

    Not only that ,,,,bila shaka ttaanza kutegmea mapato ya ndani na uwekezaji,,,ttegemee kodi kupanda ,hakutakua na nyongeza ya biashara due to budget deficit...pia utakua mbinde kuajiliwa ,,,,nazan vilimo vinavyotegemea vyama vya ushirika kuuza mazao vitabanza zaid maana huko ni rahis tra...
  10. Mo makambako

    Zitto Kabwe asubiriwa na Bunge kueleza lengo la barua yake Benki ya Dunia kuzuia mkopo wa kuboresha Elimu (SEQUIP)

    Nimeamini nzi ni nyuki mjinga ........hivi hujui kutakua na upigaj wa hela nying?,hujui kama shule kongwe ni chache ??hujui kua kuna watu wanatembea two km kwa miguu across bushes kwenda shule?,and u still arguing the gvt of greens kukarabati?? AF shule kongwe zna maeneo na rasilimali nyingi pia...
Back
Top Bottom