johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,955
- 141,942
Kuna uzalendo gani zaidi ya watanzania kuwashuhudia timu yao ikilipigania taifa kwa kupitia Tv ya taifa?
Ni kwanini TBC hawakuyapa umuhimu mashindano haya ilhali kombe la dunia ambalo Tanzania haikushiriki walionyesha tena live.
Leo zimechangwa sh milioni 370 kwa ajili ya kuisaidia Taifa stars huu ni uzalendo lakini TBC mnazingua.
Maendeleo hayana vyama!
Ni kwanini TBC hawakuyapa umuhimu mashindano haya ilhali kombe la dunia ambalo Tanzania haikushiriki walionyesha tena live.
Leo zimechangwa sh milioni 370 kwa ajili ya kuisaidia Taifa stars huu ni uzalendo lakini TBC mnazingua.
Maendeleo hayana vyama!