Gianluigi donnarumma anakuwa golikipa wa kwanza other than Gianluigi buffon kupata cleansheet kwa italy katika mashindano makubwa ya ulaya na dunia tangu fransisco toldo alivyofanya hivyo katika euro 2000
Washika mitutu wa kaskazini mwa London (Gunners ) wameanza mazungumzo na beki wao wa kushoto KIERAN TIERNEY juu ya kuongeza mkataba mpya wa kuendelea kukipiga arsenal,ikumbukwe arsenal walimsajili tierney toka celtic mwaka 2019 na ameonesha kiwango kikubwa sana toka aanze kuitumikia miamba hiyo
Wale wazee wa fantasy league safari hii tukutane kwny eurofantasy league anyone interested please kindly join kwa code hyo hapo chini[emoji1313]
Code;90HUHIRR07
Mashindano ya uefa euro 2020 yanaanza kutimua vumbi leo ijumaa kwa mtanange mkali wa kundi A baina ya miamba TURKEY Vs ITALY majira ya saa 4 kamili usiku kwa saa za afrika ya mashariki, je wewe unamtabiria nani kuibuka bingwa wa euro 2020?? Weka utabiri wako hapa chini [emoji1313]
Wijinaldum amesaini mkataba na miamba ya soka ya jijini paris ufaransa (PSG) kuitumikia mpaka juni 2024. Ikumbukwe Barcelona walikuwa na nafasi kubwa ya kumpata mchezaji huyu lakini akabadili na kwenda kusaini kwa miamba hiyo ya Paris.
Wakala wa Jadon Sancho amekubaliana na uongozi wa Manchester United juu ya uhamisho wa mchezaji huyo kwenye dirisha la usajili majira haya ya kiangazi Sancho amekubali kujiunga na mashetani wekundu mpaka juni 2026, kazi iliyobaki ni Manchester united kukubaliana na borussia Drtmund ada ya...
Kiungo mzuiaji wa miamba ya soka ya London (Arsenal) Granit Xhaka amekubali kujiunga na miamba ya soka ya italia As roma chini ya kocha JOSE MOURINHO kwa mkataba wa miaka mitano kwa Ada inayokadiriwa kati ya €18-20m hivi karibuni atasaini mkataba huo [emoji837]
Source; (chris wheatley)
CEO na Mmiliki wa mtandao wa uuzaji wa nyimbo online (spotify) DANIEL EK anajiandaa kupeleka ofa nyingine ya kuinunua gunners ambayo inakadiriwa kufikia £2bn, ikumbukwe awali alipeleka ofa inayokadiriwa kufika £1.8bn kwa mmiliki wa washika mitutu hao wa london kroenke lakini ofa hiyo ilikataliwa...
Kiungo mshambuliaji wa miamba ya soka ya kaskazini mwa London (arsenal ) Emile smith Rowe yupo katika hatua za mwisho za kusaini mkataba wa muda mrefu wa kuendelea kuitumikia miamba hiyo ya soka ya Uingereza, ikumbukwe pia Emile Smith Rowe alionyesha kiwango cha juu kabisa msimu uloisha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.