Mwanamke ndio hana cha kupotenza mkuu kwa sababu kitu pekee anachowekeza kwenye mahusiano ni mbususu,mwanaume anaweza akawekeza hadi future yake kwa mwanamke
Hizi zitakuwa ni propaganda uchwara tarehe 5 nimeulizia tiketi ya ndege kutoka Mbeya hadi mwanza kwenda na kurudi nikaambiwa Laki 9 na Elfu 80 nikaona ujinga huu nikakata tiketi ya basi faster Elfu 90
Wapo waliokufa hata miaka 20 hawajafikisha,kuishi ni zawadi hata mali ambazo unahisi zitakusaidia zinaweza zikaisha zote na ukabaki mikono mitupu,kuna mzee ujana wake wote alikuwa jela kwa miaka 20 alikuja kutoka ni miaka 45 na sasa tunavyozungumza ana miaka 73 ni tajiri haswa
Hakuna nachojutia kwenye haya maisha,hakuna aliyeishi kabla kwenye hii dunia,achana na presha za mitandao ukianguka unajifuta vumbi unaendelea na safari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.