Recent content by Mnyiramba

  1. Mnyiramba

    Visa vya Wajawazito kwa waume zao

    Hapo ulikuwa umemrahisishia ex wa mke wako kazi,ukiwa simp guy Dunia hii utatumika kama useless
  2. Mnyiramba

    Hakika msioe, ndoa imeangamiza ndoto na ndoa ni Janga

    Mwanamke yeyote ukimkuta sio bikra ni malaya
  3. Mnyiramba

    Hakika msioe, ndoa imeangamiza ndoto na ndoa ni Janga

    Kudadeki ushauri nimeupata too late ila leo leo natoa talaka
  4. Mnyiramba

    Unaweza ukalia kwa kuachwa na mpenzi?

    Mwanamke ndio hana cha kupotenza mkuu kwa sababu kitu pekee anachowekeza kwenye mahusiano ni mbususu,mwanaume anaweza akawekeza hadi future yake kwa mwanamke
  5. Mnyiramba

    Sitaki kumsaliti mke wangu ila ananilazimisha

    Kanda ya ziwa ipi mkuu 😆Mbona huyu wangu anapenda niisugue kila siku kama mabomu ya iran
  6. Mnyiramba

    Ni nani kawafundisha mabinti wa madukani kuiba? Tunakoelekea heri uweke kijana wa kiume kuliko binti, wamekuwa wajanja sana

    Unaweza ukaweka mke ukasikia ameshajenga nyumba somewhere huku ukibaki na madeni na stress ukajiua
  7. Mnyiramba

    Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    Watu wanalipwa laki na nusu ila kazi hawaachi hata kwa viboko,mjini ushaambiwa shule 🤓mshahara laki unusu kila siku mtu anatoka na elfu 50
  8. Mnyiramba

    Kuanza biashara ndogo ndogo ukiwa na majukumu ni ngumu mno kutoboa

    Kwenye haya maisha ukitafuta visingizio ni lazima uvipate ,maisha ni kuchagua upambane kubadilisha hali yako ama ukae ukilalamika
  9. Mnyiramba

    Je, ni sawa mwanamke kula bila kumkaribisha mume wake kila mara?

    Kumbe ndoa kitu kidogo kama hicho kinafanya ukose amani 😆
  10. Mnyiramba

    Utajiri wa kichawi: Hivi haya mambo yapogo kweli? Maana kuna wimbi la vijana wanapigwa pesa kimya kimya

    Mtoa mada wenzako wanaliwa jicho ndio wanatoboa sasa endekeza tamaa
  11. Mnyiramba

    Kwa sasa ukishindwa kupanda ndege basi tena

    Hizi zitakuwa ni propaganda uchwara tarehe 5 nimeulizia tiketi ya ndege kutoka Mbeya hadi mwanza kwenda na kurudi nikaambiwa Laki 9 na Elfu 80 nikaona ujinga huu nikakata tiketi ya basi faster Elfu 90
  12. Mnyiramba

    Miaka 35-55 inaweza kuwa ya kutisha kwa wanaume. Kitumie vizuri kipindi cha miaka 20-35

    Wapo waliokufa hata miaka 20 hawajafikisha,kuishi ni zawadi hata mali ambazo unahisi zitakusaidia zinaweza zikaisha zote na ukabaki mikono mitupu,kuna mzee ujana wake wote alikuwa jela kwa miaka 20 alikuja kutoka ni miaka 45 na sasa tunavyozungumza ana miaka 73 ni tajiri haswa
  13. Mnyiramba

    Ma Brother wa 35+ ni kosa gani ulilifanya kwenye maisha yako, ambalo hutamani wengine walirudie?

    Hakuna nachojutia kwenye haya maisha,hakuna aliyeishi kabla kwenye hii dunia,achana na presha za mitandao ukianguka unajifuta vumbi unaendelea na safari
Back
Top Bottom