Yaani mkuu hapo umenena na mawazo ni mazuri lamsingi ni kuyafanyia kazi kwa wenye mtaji na pia kwa wasio na mtaji lakn wana mawazo mazuri juu ya biasha ningependa kuwashaur ni vyema kukopa mtaji hata kidogo na kuukuza kutoka kwenye biashara unayoianzisha!! #"Busness for good life"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.