Recent content by Mnyasa originally

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwa mara nyingine tena utumishi waita kazini (23/08/2014).

    Simu za mchina ni shida mkuu tuwekee majina ndugu
  2. M

    JamiiForums Tanzania TBC LIVE: Matangazo ya moja kwa moja ya CCM Mwanza

    Acha majungu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Capt. Komba apiga marufuku wageni kutembelea jimbo lake

    Huku kwetu Nyasa (Mbinga magharibi) Cpt.John Komba ni "Wamuyaya" a.k.a Lijogolo,wenye chuki wapasuke! Sanasana kuna kijana Alex Shauri anaandaliwa kuwa mbadala wa John Komba.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ajira za Jeshi la magereza zinatangazwa lini?

    Habari ndugu zanguni wana JF, Naomba kujuzwa kuhusu Ajira za Jeshi la magereza kwa mwaka huu zitatangazwa lini maana miezi inazidi kusonga
  5. M

    JamiiForums Tanzania Agronomist is needed

    I have a DIPLOMA IN AGRO MECHANIZATION,can I work in your Company?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ukombozi wa wasio na ajira

    Nina Diploma ya Kilimo naruhusiwa?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kazini zimamoto na uokoaji

    Majina huwa wanatoa kupitia magazeti ya Uhuru,Habari Leo,DailyNews na Mwananchi. So mara usikiapo wametoa fuata gazeti mojawapo kati ya hayo kwa tarehe husika.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Sajini na Konstebo wa Zimamoto na Uokoaji

    Naona kimya kimetawala kuhusu sajini na konstebo wa zimamoto! Mwenye info atutonye.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kazini tena Kilimo na mifugo

    Wameongeza majina mengine jana mkuu.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kazini tena Kilimo na mifugo

    Ndugu wana Jf, Utumishi wameita watu kazini tena kwa kada za kilimo na mifugo! Naomba wadau mtupie humu.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kazini

    Mbona walitoa,wametoa yapi tena?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi Kilombero Sugar Company

    Kuna kiambatanisho chochote kinacho takiwa?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi Kilombero Sugar Company

    hakuna kiambatanisho chochote?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa UKAWA Jangwani

    haya bana Lizaboni
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge captain John Komba hii ni aibu...

    Yeye alikuwa anatoa sababu ya kuchelewa,hakuwa analalamika hebu kuwa muelewa.
Back
Top Bottom