Aende tuuu maana tumechoka sasa, MTU mwenyewe ni over 70 ages halafu Kwa umri huo lazima awe mwoga wa mabadiliko. Wazee wengi wa umri huo huishia kusimulia mambo ya zamani, hana jipya atabaki anaongea mambo yaleyale ya zamani hatakama hayana uhalisia
Unaona jinsi akili kubwa inavyo ongoza akili ndogo? Sisi wa tanzania tunajua kabisa kuwa m4c ni mali ya chadema hivyo John Pombe Magufuli alitakiwa atengeneze yakwake. Angeweza kuiita J4C au P4C au JPM4C au 4CJPM, labda tungemuelewa ila anaposema yeye ni M4C manayake anatuambia watanzania...
Hata mimi nimesha liona hilo. ccm ni ileile ooooooh ni ileile, sasa mabadiriko anayo hubiri Magufuli ndiyo yapi? Bora hata ya Chadema wamekuja kivingine kabisa kwenye nyimbo za kampeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.