Recent content by Mnyanyunda

  1. Mnyanyunda

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Taa za ist za busta unauza bei gani ?
  2. Mnyanyunda

    Paul Makonda: IST ni gari wanayohongwa wanawake mitaani, siwezi kuitumia na siwezi kumpa askari wangu

    Makonda tuombe radhi tafadhali...! Hii kauli haijakaa vizuri ukiwa kama kiongozi ni udhalilishaji husio na msamaa wa kuombewa radhi na Bashiru.Umetuaribia siku kwa kweli
  3. Mnyanyunda

    Mke wangu anaongea vitu bila mpangilio, itamchukua muda gani?

    Asante.. na ni kweli mabadiliko yanaonekana
  4. Mnyanyunda

    Mke wangu anaongea vitu bila mpangilio, itamchukua muda gani?

    Kuchanganyikiwa kaka si lengo langu mkuu
  5. Mnyanyunda

    Mke wangu anaongea vitu bila mpangilio, itamchukua muda gani?

    Wamesema hii hali itakwenda itakuja kuacha
  6. Mnyanyunda

    Mke wangu anaongea vitu bila mpangilio, itamchukua muda gani?

    Nimeeasiliana na dktari usiku huu anasema ni matatizo ya ugonjwa wa uzazi na hii hali itakwenda itakuja mwacha sasa nimeshindwa kumwelewa ndio maana naomba msaada wa mawazo kwani mpaka muda huu bado mke wangu yupo icu
  7. Mnyanyunda

    Mke wangu anaongea vitu bila mpangilio, itamchukua muda gani?

    Mada tajwa hapo juu,naomba msaada kwa walio na ujuzi kwa hili..!Mke wangu amepasukiwa na chupa ya uzazi na mtoto kufariki naye hali yake si nzuri kuanzia ijumaa ya 10/8/2018.Jana jumatatu ameanza kutambua watu,jumanne ya leo hali yake kuanzia asubuhi ni kuongea vitu bila mpangilio (kubwabwaja)...
  8. Mnyanyunda

    Je kuna ukweli wowote hapa?

    Hayo mambo ya wadada wa kazi yameanza miaka y vizazi vyenu.Wakongwe wa miaka hiyo hatukupata bahati ya kuhudumiwa na mabeki tatu.
Back
Top Bottom