Mnyanyunda
Member
- Aug 2, 2016
- 82
- 128
Mada tajwa hapo juu,naomba msaada kwa walio na ujuzi kwa hili..!Mke wangu amepasukiwa na chupa ya uzazi na mtoto kufariki naye hali yake si nzuri kuanzia ijumaa ya 10/8/2018.Jana jumatatu ameanza kutambua watu,jumanne ya leo hali yake kuanzia asubuhi ni kuongea vitu bila mpangilio (kubwabwaja) mpaka inanikatisha tamaa.Msaada wenu kwangu je hii hali ya kubwabwaja maneno itamchukua muda gani ndugu zangu?