Hizo Imani za kuteseka then bado unavumilia ndoa tunazo ngozi nyeusi tu, ukimuona mwenzio katoka kwenye ndoa ni heri ukae kimya kuna mateso mengi mno ndani yake
Shigongo maisha yashamuendea hovyo badala ya kumshauri domo kwanini asije kulipa wafanyakazi wake mishahara mara wanafedheheka na mishahara ya tarehe 40,mpaka leo tarehe31 dirishani kweupe, then me pia namshauri aache kuzaa zaa hovyo na wafanyakazi wake huku akiwaweka ofisi moja, awe na heshima...
Mange ndiye aliyeanzisha bashite kuwa na cheti feki, mange huyo huyo ndo alisema CCM wameenda kubadilisha katika hatimaye jana yametangazwa kwenye magazeti kuwa magu atagombea urais 2020 bila kupingwa na mwanachama yoyote wa CCM bado tu kaongo
Usikatae ndugu ukitapika mara kwa mara mishipa midogo ya damu inapasuka so inategemea kila mtu na ubebaji wake me nimezaa zaid ya mara moja naelewa, sema wanawake hatupendan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.