TCRA iwajibishwe kwa kushindwa kudhibiti matusi mitandaoni kwa viongozi wetu

Sasa wewe mwenye unajitukana halafu unatetea wanao tukananwa ilihali unajua fika hawatukanwi bali huambiwa ukweli. Na sifa ya ukweli huumiza siku zote. Ushauri wangu kwako nenda mwenyewe ukajiripoti TCRA kwa kujitukana na tusi lenyewe ni ID yako "Binti Msichana" na wajua fika vigezo vya kuwa Binti au msichana huna tena! Sasa kuna tusi kubwa zaidi ya hili????
 
TCRA hawajashindwa kuwashughulikia wale wote wanaotukana kwenye mitandao.

Kuna mkakati unafanyiwa kazi, wewe subiri tu, utasikia namna watu wenye kutukana watakavyoshughulikiwa. Awamu hii siyo ya mchezo mchezo. Siku wakianza kushughulikiwa utasikia kuna watu watasema "haki za binadamu" zinakiukwa.

Kitakacho fanyika mbona itakuwa fundisho kwa wengine.
Mwambie uwalaza aanze kumshughulikia bashite kwanza then cc tutafata
 
Miss chaga dadaangu unachokitetea kiko sawa kabsa lkn jamani ukweli huendana na facts pamoja na uwakilishi wa facts hizo hata kama tunaemwambia haelewi nn watu wanamshauri lkn kikukweli matusi yamekuwa mengi sana hadi aibu,angalia kimambi post zake kwa insta, jamani akiba ya maneno kidogo ni nzuri husaidia sana kwa maisha ya baadae, saiz vijana wadogo wantumia cm wanapoona mitusi kama ya mange ile watotobwetu pia watajua kumbe hata matusi ni jambo la kawaida,tufikirie pia kila tuyasemayo mi yetu binafs au hata kizazi chetu inafikiwa nayo
Mm napenda sana mada zako dadaangu lkn duuu mange kazidi sana aisee

Lkn kila tulifanyalo hapa duniani hudhihirika hapa hapa

Mange anayosema anayajua maana yy ni mtu mzima hawez kukurupka tu lkn tuangalie namna ya ufikishaji

Tuige mfano wa nape ktk kusema, angekuwa mtu mwingine kwa jana basi angesema hadi siri za chama
Nape lazma aseme na kubakisha mana bado analinda sembe yake, Je mtu kama me cna cha kubakisha lazma niteme nyongo yangu mtandaon nisipate kirungulia
 
Anawafurahisha wengi...au unapimaje?

Utafiti wa umoja wa mataifa unaoionyesha Tanzania kama miongoni kwa nchi ambazo wananchi wake hawana furaha kabisa, moja kati ya sababu sababishi ya kutoweka kwa furaha ni baadhi ya matendo ya serikali anayoiongoza bwana mkubwa.

Nashuhudia malalamiko mitaaani, mitandaoni, kwenye vyombo vya habari n.k.

Kauli yake yeye mwenyewe kama Rais kwamba wananchi tunashughulikia mambo ya umbea (anatulalamikia), kwa kutulalamikia kwake tu inaonyesha kuna ukinzani uliopo kati ya pande mbili (wake na wetu). Kwa hali ya kawaida huwezi kulalamikiana na watu mnaofurahishana.

Nawewe labda unieleze umepimaje kwamba anafurahisha wengi.
 
Ili isiathiri utendaji kazi wake katika kipindi hiki ni bora asiingie mitandaoni kabisa. Kwa maana kauli yake ya kutopangiana cha kufanya ndio inayo mponza
 
Mleta mada bila shaka ni NUNGAYEMBE pambaf yako, unawatetea wanaokufanya ule viporo kila siku! Hao wanaotukanwa mbona wametulia wewe ndo unamwasho wa kukunwa! Kwa hiyo uliahidiwa sh. ngapi au ndo unasubir chumvi ya mawe 2020? Waambie warekebishe namna ya kuendesha nchi wakiendelea kuiendesha kama gari lisilo na stering si matusi tu na lugha chafu bali hata mawe yatafuata hii nchi ni Mali yetu na sio yake!
 
Utafiti wa umoja wa mataifa unaoionyesha Tanzania kama miongoni kwa nchi ambazo wananchi wake hawana furaha kabisa, moja kati ya sababu sababishi ya kutoweka kwa furaha ni baadhi ya matendo ya serikali anayoiongoza bwana mkubwa.

Nashuhudia malalamiko mitaaani, mitandaoni, kwenye vyombo vya habari n.k.

Kauli yake yeye mwenyewe kama Rais kwamba wananchi tunashughulikia mambo ya umbea (anatulalamikia), kwa kutulalamikia kwake tu inaonyesha kuna ukinzani uliopo kati ya pande mbili (wake na wetu). Kwa hali ya kawaida huwezi kulalamikiana na watu mnaofurahishana.

Nawewe labda unieleze umepimaje kwamba anafurahisha wengi.
Nimepima kwa idadi ya kura alizopata na anavyotimiza ahadi kwa mfano elimu bure kubana matumizi ameanza kwa kuwa na baraza la mawaziri dogo kununua vivuko kuendelea kujenga miundo mbinu kupambana na rushwa madawa ya kulevya na viwanda vinajengwa nchi nzima. Hiyo ni dalili tosha anawafurahisha bali kuna wachache wako mitandaoni na baadhi ya wamiliki wa vyombo vya habari wanatumia nguvu nyingi aonekane hafai ama hapendwi.
 
Mimi Ni mmiliki wa device ninayejiamini.....

Usinipangie cha kufanya Nayo......

Kwanza ata Wakati naenda kununua Bando hakuna aliyenisindiza...

Wakati nachagua mtandao wa kutumia nimeamua mwenyewe..

So wewe Dada ....Be careful, watch It...

Unaweza kunishauri lakini kama unaonafikiri ni kila kitu NOT TO THAT EXTENT...

Bloodfool.
 
Nimepima kwa idadi ya kura alizopata na anavyotimiza ahadi kwa mfano elimu bure kubana matumizi ameanza kwa kuwa na baraza la mawaziri dogo kununua vivuko kuendelea kujenga miundo mbinu kupambana na rushwa madawa ya kulevya na viwanda vinajengwa nchi nzima. Hiyo ni dalili tosha anawafurahisha bali kuna wachache wako mitandaoni na baadhi ya wamiliki wa vyombo vya habari wanatumia nguvu nyingi aonekane hafai ama hapendwi.

Kipimo cha idadi ya kura alizopata sio sahihi kwa sababu mbili, moja ndiye rais aliyepata kura chache zaidi (58%) na pili kura alizopigiwa haziwezi kuwa ishara ya kuwafurahisha wananchi kwa sababu ndio alikua anaingia madarakani (hakuwa rais hapo kabla). Kuhusu kutekeleza ahadi zake ni kweli baadhi ya ahadi alizoahidi anatekeleza na mimi ninampongeza kwa dhati kabisa. Ila hapo kwenye rushwa nina mashaka kidogo, maana suala la matumizi mabaya ya madaraka linaambatana na makosa ya rushwa, je, iweje alifumbie macho suala la mkuu wa mkoa wa DSM la kuvamia kituo cha habari na kashfa ya vyeti ? Kwanini hamchukulii hatua stahiki kama ambavyo amekua akifanya kwa wateule wake wengine ?
Suala la ujenzi wa viwanda nchi nzima, mmmh sijui unaishi nchi gani ndugu yangu ambako unaona viwanda vinajengwa. Kuhusu suala la miundombinu hapa hakuna wa kulalamika, Rais tumseme kwa mengine ila sio katika sekta hii, jamaa anajenga kweli kweli, na kama maendeleo yangekua ni majenzi pekee (lami, majengo, viwanja vya ndege n.k) tungefika mbali ndani ya kipindi kifupi.

Kwa ujumla niseme tu kwamba hata kama Rais angekuwa ametekeleza kweli kila ahadi aliyoitoa, kuna viwanda kila kijiji, neema tele kila kona, haitoshi kusema ndio kipimo cha kuwa eti anafurahisha walio wengi, furaha inakua reflected kwenye maoni na matendo ya watu. Ukiwatendea yanayoonekana ni mema, watu hawana hiyana, watakusifu, watakutukuza, watakua na furaha. Maisha magumu kila kona, watu wanafunga biashara, ajira hakuna, alafu unakuja na utetezi hapa kwamba anawafurahisha wengi kisa anatekeleza ahadi zake ? No.
 
Baadhi ya Watanzania kila kukicha wamekuwa wanakesha mitandaoni kwa kutukana matusi kwa viongozi mbalimbali wa serikali .

Hali imekuwa mbaya zaidi kwa sasa kwani matusi, kashfa , kejeli na kila aina ya utovu wa nidhamu vinaelekezwa kwa rais wa JMT mh.Pombe Magufuli kupitia mitandao ya Instagram, Facebook, Twitter na mitandao mengine ya kijamii.

Cha kushangaza vyombo vinavyohusika vimekaa kimya bila kuchukua hatua yeyote.

TCRA imekuwa kimya kwa muda mrefu kukemea tabii hii isiyo ya heshima kwa Rais wetu.

Sifurahishwi jinsi kiongozi wetu alivyodhalilishwa mitandaoni.Kwani hali hii inampa stress rais wetu hivyo kuathiri utendaji wake.

Ifike mahali Watanzania tujenge utamaduni wa kuheshimu mamlaka.

Vyombo vya usalama, TCRA , na mahakama mna nafasi kubwa ya kudhibiti hali hii.

Tumechoka kuona kila kukicha rais wetu anatukanwa mitandaoni
Muache kuwabambikia watu kesi, wizi, ufisadi, wivu, chuki, kukomoana na ndoa za jinsia moja za wasukuma wawili watu wataacha matusi wenyewe.
 
Sasa wewe mwenye unajitukana halafu unatetea wanao tukananwa ilihali unajua fika hawatukanwi bali huambiwa ukweli. Na sifa ya ukweli huumiza siku zote. Ushauri wangu kwako nenda mwenyewe ukajiripoti TCRA kwa kujitukana na tusi lenyewe ni ID yako "Binti Msichana" na wajua fika vigezo vya kuwa Binti au msichana huna tena! Sasa kuna tusi kubwa zaidi ya hili????
Ndoa ya jinsia moja kati ya wasukuma wawili ndiyo chanzo kikuu cha matusi, wakati hawajaamua kuwa pamoja hakuna mtu alikuwa busy na msukuma mkubwa.
 
Back
Top Bottom