Recent content by mnyamwenga

  1. M

    Naomba kufahamishwa taratibu za kuhama shule ya sekondary kwa mwanafunzi anayeingia kidato cha nne mwakani

    Habari wapendwa...kichwa cha habari chahusika nataka kumwamisha morogoro kwenda iringa naombeni muongozo wapendwa...
  2. M

    National Institute of Transport (NIT) -Special Thread

    Wadau vp kuhusu evening class hapo NIT.....
  3. M

    Bagamoyo: Afariki kwa kupigwa risasi baada ya kukaidi amri ya JWTZ

    Acha kujadili kitu kilichowazi wewe we unataka wanajeshi wangechukua hatua gani kwani hatua za awali za kumwamuru asimame akakaidi wakapiga risasi hewani akakaidi so unadhani wafanyeje maana hawajui huyo mtu kajiandaaje mpaka anakaidi amri licha ya kusikia mlio wa risasi???.....jeshi letu ni...
  4. M

    NAOMBA MNIJUZE KUHUSU CHUO KIKUU HURIA(OPEN UNIVERSITY) HASA KATIKA KOZI WANAZOTOA KWA KIWANGO CHA DIPLOMA....

    Aksante sana ligogoma umenifumbua akili yangu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    NAOMBA MNIJUZE KUHUSU CHUO KIKUU HURIA(OPEN UNIVERSITY) HASA KATIKA KOZI WANAZOTOA KWA KIWANGO CHA DIPLOMA....

    Habari zenu waungwana naomba kufahamishwa kama kichwa cha habari kinavyojieleza na pia ningependa kufahamu changamoto zake hasa za kujifunza....aksanteni Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Ujue ugonjwa wa Goita Dalili na Tiba yake

    Matumizi ya dawa hizo tafadhari naomba uelezee hapa
  7. M

    Natafuta mke

    Habari zenu comrades.. Mimi ni kijana mwenye miaka 25 ni mwajiliwa serikalini,natafuta mke awe na miaka kuanzia 18 hadi 28 ,nipo serious mwanye kuhitaje naomba aje PM sichagui Dini wala kabila
Back
Top Bottom