Acha kujadili kitu kilichowazi wewe we unataka wanajeshi wangechukua hatua gani kwani hatua za awali za kumwamuru asimame akakaidi wakapiga risasi hewani akakaidi so unadhani wafanyeje maana hawajui huyo mtu kajiandaaje mpaka anakaidi amri licha ya kusikia mlio wa risasi???.....jeshi letu ni...
Habari zenu waungwana naomba kufahamishwa kama kichwa cha habari kinavyojieleza na pia ningependa kufahamu changamoto zake hasa za kujifunza....aksanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu comrades.. Mimi ni kijana mwenye miaka 25 ni mwajiliwa serikalini,natafuta mke awe na miaka kuanzia 18 hadi 28 ,nipo serious mwanye kuhitaje naomba aje PM sichagui Dini
wala kabila
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.