mungu anaona wapinzani wazalendo wameiepuka thambi iyo mishwada mikubwa kama hiyo inaitwa hati ya zalura watanzania mbona tuna buluzwa na mafisadi na sisi tumewang'ng'nia tu da tutaliwa mpaka mwisho hii nchi yetu sio ya ccm kwenye uboleshaji wa daftali la wapiga kula tuna buluzwa pia mpaka mama...
Dodoma kuna maskini wenzetu wengi na ndo chimbuko la omba omba lakini ndo wamekua wakii kumbatia ccm sana kwa kupewa kofia kanga visukali na ndomaana wameanza mapema kampeni nakuwagawia watu lushwa ndogondogo Dodoma hambadiliki tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.