cardiologue
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 351
- 90
Kwani zzk asiporudi bungeni ww utanufaika vipi??Mwigamba hata ubalozi hapati.Zito mwenyewe kurudi bungeni ni ndoto.
Kwani zzk asiporudi bungeni ww utanufaika vipi??Mwigamba hata ubalozi hapati.Zito mwenyewe kurudi bungeni ni ndoto.
Kwahiyo Mnyika anaiiga CCM?
LEMA, MNYIKA, SUGU, WENJE , KIWIA, MSIGWA, SELASINI etc hawa Bunge lijalo watalisikia tu!
Mwigamba katufagilie njia, jimbo linarudi nyumbani CCM.
Hata wakisimamisha jiwe VS Mnyika Ubungo, jiwe linashinda!
Sisi wana ubungo hatumtaki kabisaa mnyika,dumu la maji tunanunua 2000 kwa sasa
JidanganyeHata wakisimamisha jiwe VS Mnyika Ubungo, jiwe linashinda!
Bado hajielewi anataka jimbo gani.mbona Ana tapa tapa,Mara magu Mara ubungo Mara sijui arachuga.
unajua ukishapoteza dira kila jimbo unalimezea mate,huyu mwigamba hawez hata kushinda nusu kura za mnyika.
muacheni aje tumor kichapo cha nguvu.
Mnyika wa 2010 sio huyu, wanaubungo walikuwa na matumaini naye baada ya kuwaahidi mambo kadhaa, ila sasa keshapoteza mvuto, kwani hajatekeleza ahadi yake hata moja!
Hata wakisimamisha jiwe VS Mnyika Ubungo, jiwe linashinda!