Wewe huna malengo na mipango binafsi ya kufanya na kufika mahali ndani ya muda fulani? Je unaishi kwenye mipango yako? Kama ndiyo, why uone wivu kwenye mipango ya mwenzio? Ulipewa na mtu hayo malengo? Ikiwa ni malengo yako na mipango yako basi ww unaongozwa na mihemuko maishani. Live and trust...
Story za kuibiana nyeti zimeanza juzi tu hapa, eti na dawa ya kuzuia kwa kuvaa pini na rubber imeshapatikana muda mfupi tu huu. Nani kafanya huo utafiti kwa muda mfupi huu na kuja na hilo suluhisho? Watanzania tunaongoza kwa ujuha ulimwenguni.
Hao mbwa ndo wanaua nchi kwa ujira wa buku 7 na huwaambii kitu kuhusu CCM. Hiyo taaluma imekua kama laana nchini, Wanatumika kuhalalisha mambo ya hovyo sana. Ina maana dada yake asingeuliwa na Samia bado asingeliona tatizo. huyo hajaamka bado
ndege wafananao huruka pamoja. ila uyu mama uyu katudharau kwa level ya mwisho kabsa, Tanganyika haina wanaume hadi tumefikishwa hapa na mbibi wa nchi jirani. inasikitisha.
Nchi imejifia hii, iko kwenye autopilot. Uyu ajuza kawaponza jinsia KE yote pamoja na mtoa mada kutaka kushika nafasi za juu kiungozi. Yan kuna wakati unahisi labda angekua mtanganyika japo na jinsia yake kidogo angeweza kuwa mzalendo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.