Ni wito wa kujikatalia kwa lengo la kumtumikia mungu tu, mabadiliko yoyote nje ya kiapo kile ni kuanguka ktk kiapo cha utii kwa mungu na askofu ndiyo maana ukiacha kile kiapi bila utaratibu , maisha yatayumba na huwezi kuwa sawa ktk jamii.
Nacte wafanye uchunguzi wa Masters ya Nasar coz elimu anayodai kuipata nje ya nchi na action zake havirandani kabisa walau Sugu ingawa hajaenda shule ana hoja za mashiko na data bases.
Nassar aweke hiyo Rb , kwa taarifa za hivi punde mlinzi aliyemuua huyo mbwa kwa maelekezo rasmi amepatikana na nyumba ya Nassar ku shwar haina hata mchubuko popote. Vipigo vinawewesesha watu.
Taarifa toka arumeru usa river ni kuwa arumeru kwenyewe hakuna tukio hilo ndio maana mzee wa flash hajaweka picha ya mbwa aliyeuwawa na hajaripoti polisi .Watanzania sasa ni wasomi kuliko masters za ulaya, hivyo inaombwa , Nassar aweke picha ya mbwa au Rb ya polisi, imeelezwa taarifa hiyo ni...
Du balaa , ingawa hakuna hata picha moja ya ushahidi wa mbwa aliyeuwawa usiku arumeru, nilikuwa naongea na askar mmoja hapa usa river polisi , hawajui chochote juu ya tukio na amesema arumeru shwar , na hizo na taharuki za flash ktk kichwa cha Nassar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.