Recent content by Mnyalutanana2020

  1. Mnyalutanana2020

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    Kuna mzee anaitwa Masoud Masoud yuko TBC nafikiri mpaka sasa, namuelewa sana kwenye simulizi za historia ya mziki wa zamani na ndiye aliyetangaza msiba wa Michael Jackson
  2. Mnyalutanana2020

    Historia ya kweli ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda

    This guy Paul Kagame ni mtu hatari sana ni master mind aliyetukuka, hakika mimi binafsi huwa namkubali sana, yuko calm na very focused sana. Nafikiri ni moja kati ya maraisi bora kabisa waliowahi kutokea Afrika Mashariki.
  3. Mnyalutanana2020

    Mjue Yasuke shujaa mweusi nchini Japan

    Mara nyingi historia za waafrika waliofanya makubwa huko duniani haziandikwi vizuri, sijui watu wa duniani huko wanaogopa nini kuandika historia iliyokamilika za muafrika... lazima kuna jambo kubwa waafrika wako nalo, any way tuendelee kula mtori, nyama tutazikuta chini.
  4. Mnyalutanana2020

    WHO: Corona Virus inaweza isiondoke

    Hakuna namna kama vijna wa mjini wanasema tukae umo na tahadhari tuchukue
  5. Mnyalutanana2020

    Dar es Salaam is the second-fastest growing city worldwide

    You can imagine now we are only approximately 6 million people we ave a lot of chaos, regarding the Dar es salaam rapid urbanization, we are experiencing much flooding, climate change, poverty and diseases than before - having 10 million people without having any preparation to accommodate those...
  6. Mnyalutanana2020

    Mgeni naomba mnikaribishe

    Ndio Mjukuu wa Mkwawa ...
  7. Mnyalutanana2020

    Mgeni naomba mnikaribishe

    Wadau napenda kusema hodi hapa jamvini, mimi ni mmgeni wenu, lakini si mgeni wa jamvi la jamii forum, nilikuwa napata yote ya jamvini kwa kupitia njia nyingine. Kwa maana kusoma kwa kubrowse bila kuwa na akaunti ya hapa jamvini. Sasa rasmi nimejiunga nanyi kuendeleza kugurudumu la kupashana...
Back
Top Bottom