Alikua na maajabu xn uyu mwamba,...lkn sir tujifunze nn kwake kwa sasa kwani uchawi hauna maana tena kwa kizazi hiki
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Alaf asichokijua ni kua taaluma ni sehemu tu ya akipatacho mtoto awapo shulen
Kuna kitu kinaitwa MALEZI ni kipana xn apa ndipo kinapoandaliwa kizazi kijacho chenye maadili au laaah kwaiyo wazazi muwe wawazi mnahtaji walimu wawaandalie kizazi cha aina gan
Naamin walimu ni waelewa sana...
UMUGHAKA mutu kutoka mara aogope kufungua & kufunga mlango lkn pia kulala nje tena ndan ya gar[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]namkubal mwamba hawez kumwangusha Ally mpemba
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.