Wan jf leo mchana huu makamanda wawili wataaunguruma mafinga mjini ili kuuendeleza vuguvugu la mabadiliko nitawajuza kila kitu kinachojiri kwenye mkutano huo
Mauaji yanayoendelea visiwani ni mtaji kwa serikali na watendaji wake kwani mauaji hayo yanapotokea haraka sana tume huundwa na kutumia pesa nyingi za walipa kodi mwisho wa siku hakuna mrejesho wowote ule tjiulze watanzania wenzangu majibu ya uchunguzi wa katibu wa muft kumwagiwa tindikali...
naomba chadema muwafatilie kwa karibu washtakiwa wa kesi zenu mfano huku mafinga washtakiwa hawna sapoti ya chama jitahidi sana wananchi bado wanawaamini
tatizo lenu wazee wa kujilipua hamkumbuki fadhila shule za wakristo zimewasomesha zilipotaifishwa leo mna elimu mnasahau mlikotoka ingekuwa pilau msingesahau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.