Mnyalugendo
Member
- Dec 31, 2012
- 15
- 3
hivi ni kweli watumishi wa umm bado wako sissiem? mi naamini wengi wameshajitoa, wameacha tu mashati huko walishaondoka mda mrefu
ni kweli kabisa watumishi wa uma tulishachanganya akili za kuambiwa na za kwetu tukaiacha ccm viva cdm