Ndg. @ Malikauli; Haulijui kanisa la FGBF kama wengi wanaoropoka hovyo katika jamii ! Mhe.Askofu Kakobe ni mchapakazi hodari na wafuasi wake pia! Maombi pale Mwenge kwa Kakobe yanafanyika kwa zamu kwa kila kundi la mashujaa wa maombi kutumia saa mbili tu na kuendelea na shughuli zake za...
Vibwagizo wakati wa matembezi:"Hakuna wa kuwatenganisha askofu Kakobe na watu wake wala shetani wa kumshinda Askofu Kakobe bado hajaumbika kama si kuzaliwa. Mungu wa Kakobe ndiye Mungu wa Kweli !
Wapendwa,hatimaye askofu Kakobe ataendesha makongamano ya kimataifa katika hoteli ya Marriott na watu wengi wanaendelea kujiandikisha kuhudhuria nchini Canada,katika crusade & conference. Tembelea: www.bishopzacharykakobe.org/en/events/upcoming-events
Ndugu zangu wana JF; mabwana na bibi,wakubwa kwa wadogo.Naomba mniwie radhi kwa kuingia ndani ya JF;bila kubisha hodi wala kuwasalimia.Naamini mtachukulia nami katika udhaifu na kunisamehe ndugu katika JF sasa !!! :amen:
Nashukuru kwa taarifa ya Kakobe katika jiji la Toronto;lakini tukumbuke pia,kipindi hicho hicho kutakuwa maandamo na sherehe kubwa zinazoitwa eti fahari za wasagaji na mashoga kwa maelfu yao nchini Canada !!! Bila shaka, ni vita kati ya Waliobarikiwa na Waliolaaniwa !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.