Uhalali wa kuwakilisha wananchi kigezo cha elimu kingehusika, haiwezekan kigezo mpaka Leo hii iwe std7 uingie bungeni kuwakilisha shahada na maPHD's...... Nchi ina bahari kubwa na misitu serikali haiwazi kiwekeza huko bali kila uchwao mwanachi no chanzo cha mapato.... Tuoneeni huruma jamanii...
Kuna jamaa(Hatufahamiani) aliazima yangu apige jamaa yake, sm imeita ghafla nasikia matusi ya nguoni nilistuka nikampokonya sm yangu, kwa hasira nikamuuliza kwann unatumia vibaya simu yangu... Jamaa alionekana na hasira sana akaondoka zake, kilichofatia aliniachia msala yule jamaa ambae alikua...
Ishu ya huduma kwa wateja kwa Tanzania ni mbovu, sio serikalini tu. Yaani mteja hana thamani. Unashangaa kuna namba ya kuhudumia wateja lakin wateja wanabaki na kilio. Majuzi nilipiga sm kuulizia muamala ambao umekaa hewani zaidi ya siku 3, mtoa huduma anajibu kwa jazba 'Basi njoo Dar utapata...
Mpiganaji ulingoni huchagua sehemu za kupiga, LHRC wamechagua kupiga kwa Osca wakati kila nyimbo mpya ya msanii inadhalilisha mwanamke na hayo mavazi yao sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.