Recent content by mnkenimtaita78

  1. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Wazo huru: Serikali iondoe mara moja posho za walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu elimu kata pesa hizo zitumike kuajiri vijana wapya

    Mtoa mada tafakari majukumu ya Hawa wakuu wa shule na walimu wakuu.Kuna mengi wanapitia wakati mwingine Hadi kukopa ili tu mambo ya shule yaende vizuri.Serikali ilifanya vizuri kuwapa hizo posho.Hizi posho hazina uhusiano na kukosa ajira.
  2. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Sheria ya Kikristo inasemaje kwa mtoto wa nje ya ndoa?

    Sheria ipo Hadi Leo.Muislam akiamua kuwa akifa mali yake igawanywe kiislam itagawanywa. Endapo familia yake ikiamua kuwa mirathi igawanywe kiislam pia itagawanywa.Serikali haijawahi kuingilia mambo yanayohusu Imani kukwepa kuvunja ibara ya 19 ya Katiba ya Tanzania.
  3. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Sheria ya Kikristo inasemaje kwa mtoto wa nje ya ndoa?

    Inategemea mirathi imegawanywa kwa utaratibu gani. Wapo waislam ambao hugawa mirathi kwa utaratibu Wa kiserikali au kimila.Ila kwa Sheria ya kiislam mtoto Wa nje ya NDOA hapati chochote.
  4. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Serikali imeanza kuingiza udini katika sera zake? Suala la masomo ya kiislamu na Divinity yanatoka wapi?

    Umekasirika sana! Samahani sana kwa kukukosea, ni aula sana kufanya mijadala na watu waliokuwa na busara na hekima kubwa kama wewe. Nilidhani kuwa Kuna kundi ambalo limependelewa na wengine wakaachwa kulingana na maelezo yako ya awali na hata haya.Kumbe si hivyo nimekosea nisamehe bure maana...
  5. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Kuwekwa kwa somo ya Kiislamu kwenye Tahasusi kunaashiria nini?

    Suala hapa siyo Kodi,mtoa mada uwe wazi unahofu na Hilo box.Nami nimekuelewa hapo kuwa unahofu na matokeo ya wale watakao fundishwa hasa upande Wa pili.Usipige chenga kusingizia Kodi kwani hao wengine hawalipi Kodi. Masomo ya dini zote yanafundishwa acha watoto wanaotaka wasome.Wengine hawana...
  6. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

    Bado Sijapata mantiki ya hoja ya kupinga tahasusi mpya.Ina maana mwanafunzi anaposoma Somo la dini na masomo mengine mawili tena Kwa hiyari yake ni madhara gani hutokea?.Mbona wanapoenda vyuo vikuu zipo shahada zinazohusu dini.Nilidhani labda watakosa maarifa ya awali wanapoanza shahada zao...
  7. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya walimu wa shule za msingi ni "Semi-literate"?

    Mwalimu umeghadhibika.Maneno yako yanakuondolea Haiba ya kiualimu.Kukiri kosa siyo udhaifu,unajirekebisha mambo mengine yanaendelea.Hata walimu wanaofanya kazi kizembe siyo wote ni baadhi tu.
  8. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Waislamu badilikeni

    Well said mkuu
  9. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Waislamu badilikeni

    Sheikh Kishk ni Sheikh anayeona mbali.Wangekuwepo mashekh wengine kama yeye Jamii ya kiislam ingebadilika.Tatizo wapi wachache Wa aina yake na hawapewi nafasi kuongoza Jamii ya waislamu Wa Tanzania.
  10. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu Waislam mtaniwia radhi kidogo

    Chombo gani Cha waislamu kitoe tamko liwe la waislam wote hapa Tanzania?
  11. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Lini Wananchi walishirikishwa kukabidhi chuo cha TANESCO kwa Waislam?

    Mnachokitafuta watanzania mtakipata soon!
  12. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Wakatoliki (TEC) wameanza, huenda wakafuata waprotestant (CCT), wapentekoste(PCT) na wasabato. Rais Samia nakushauri achana na DP world!

    Jambo Hili la DP World linafunzo kubwa sana kwa mtanzania aliye makini.Kwa namna yoyote ambavyo litaisha tayari limeshaacha dosari na maswali mengi kwa watanzania.
  13. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi wa Shule ya Qiblatain Kawe ashikiliwa kwa kumuua Mwalimu wake

    Piga vita DP World, Uislamu achana nao maana hutauweza.Vyema ufuate mambo yako kuliko kuendekeza chuki zisizo na msingi kwa Watanzania.
  14. mnkenimtaita78

    JamiiForums Tanzania Baada ya kauli ya Rais kuzuia kuuza Mazao nje ya Nchi, bei zimeshuka

    Sasa hapo wakulima ndiyo tunao umia.Kama bei zikishuka maana yake kurudi shamba inakuwa ngumu lazima uzalishaji upungue.Sababu ni kuwa kilimo kitakuwa hakina maana tena.Kama ni tahadhari hamna shida.Sisi siyo vibarua wakuzalishia chakula watu wengine bila kupata kitu.
Back
Top Bottom