Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Waislamu
Si kwamba nawadhihaki bali nawaambia ukweli
Nimewafuatilia sana mnapokutana na wakuu wa nchi, mambo ambayo daima mnayaomba kwao ni dhaifu sana, ambayo ni;
1) Tupunguzieni ushuru wa Tende
2) Tupeni vifaa vya kuona muandamo wa mwezi
Bilashaka wakuu wanastajabu lakini wanapiga kimya, watafanyaje sasa maana ndio akili zilipoishia kwenye kuta za Quran.
Kwa upande wa Wakristo wanapokutana na wakuu wa nchi. Mambo wanayoyaomba;
1) Kupunguziwa ushuru wa vifaa vya huduma za shule, vyuo na hospitali
2) Kuomba maeneo ya kujenga shule, vyuo na hospitali
Sasa mnategemea mnaweza kushindana na akili hii? Na mkitoka hapo kwa upande wenu mkiwa kwenye bao na vijiwe vya kahawa mnaanza kulalamika mfumo kristo unatuhujumu, wanapendelewa na ndio maana wapo mbele kielimu. Mnajihujumu wenyewe kwa kutaka kula Tende harua chini ya miswala badala ya kuwaza kujenga shule na vyuo ili vijana wenu wasome. Ubize wenu wa kutaka kupunguziwa ushuru wa Tende na kutaka ofa za kwenda kuhiji Maka ndio msiba wenu. Na mkitoka huko kuhiji kwa ofa, na kujiita ma Alhaj, mnaanza kuuza maeneo ya waislamu yaliyotupu au kugombania kodi za maduka ya msikiti. Huku wenzenu kila siku wananunua hekali za kutosha za ardhi kwajili ya kujenga shule na vyuo.
Sikiliza,
Waislamu mashekhe wenu wengi ni darasa la 7 au form 4, ukuta wao wa mwisho ni aya za Quran na suna. Kazi yao kuu ni kuwapa ofa ya kuwatolea vijana mahari na kugombana na hoja za bidaa na si namna ya kuendeleza waumini wao kisasa. Sasa kweli mtakuwa na hoja zenye tija juu ya bandari dhidi ya wasomi wenye PHD?
Hivyo chuki ipo kwenu na si kwa Wakristo. Daima watu wasio na elimu hoja za elimu kwao inakuwa kama chuki wanapokutana na kigingi cha mtu mwenye elimu.
Ondoeni vile vizee vya albadir, wekeni vijana wasomi kwenye maeneo ya ofisi zenu kamwe hamtaona lawama hizi.
Lawama na makasiriko si mtaji zaidi ya kuharibu amani ya nchi. Inauma lakini imeze hivyo hivyo shekhe.
Credit to Jeff masawe
Si kwamba nawadhihaki bali nawaambia ukweli
Nimewafuatilia sana mnapokutana na wakuu wa nchi, mambo ambayo daima mnayaomba kwao ni dhaifu sana, ambayo ni;
1) Tupunguzieni ushuru wa Tende
2) Tupeni vifaa vya kuona muandamo wa mwezi
Bilashaka wakuu wanastajabu lakini wanapiga kimya, watafanyaje sasa maana ndio akili zilipoishia kwenye kuta za Quran.
Kwa upande wa Wakristo wanapokutana na wakuu wa nchi. Mambo wanayoyaomba;
1) Kupunguziwa ushuru wa vifaa vya huduma za shule, vyuo na hospitali
2) Kuomba maeneo ya kujenga shule, vyuo na hospitali
Sasa mnategemea mnaweza kushindana na akili hii? Na mkitoka hapo kwa upande wenu mkiwa kwenye bao na vijiwe vya kahawa mnaanza kulalamika mfumo kristo unatuhujumu, wanapendelewa na ndio maana wapo mbele kielimu. Mnajihujumu wenyewe kwa kutaka kula Tende harua chini ya miswala badala ya kuwaza kujenga shule na vyuo ili vijana wenu wasome. Ubize wenu wa kutaka kupunguziwa ushuru wa Tende na kutaka ofa za kwenda kuhiji Maka ndio msiba wenu. Na mkitoka huko kuhiji kwa ofa, na kujiita ma Alhaj, mnaanza kuuza maeneo ya waislamu yaliyotupu au kugombania kodi za maduka ya msikiti. Huku wenzenu kila siku wananunua hekali za kutosha za ardhi kwajili ya kujenga shule na vyuo.
Sikiliza,
Waislamu mashekhe wenu wengi ni darasa la 7 au form 4, ukuta wao wa mwisho ni aya za Quran na suna. Kazi yao kuu ni kuwapa ofa ya kuwatolea vijana mahari na kugombana na hoja za bidaa na si namna ya kuendeleza waumini wao kisasa. Sasa kweli mtakuwa na hoja zenye tija juu ya bandari dhidi ya wasomi wenye PHD?
Hivyo chuki ipo kwenu na si kwa Wakristo. Daima watu wasio na elimu hoja za elimu kwao inakuwa kama chuki wanapokutana na kigingi cha mtu mwenye elimu.
Ondoeni vile vizee vya albadir, wekeni vijana wasomi kwenye maeneo ya ofisi zenu kamwe hamtaona lawama hizi.
Lawama na makasiriko si mtaji zaidi ya kuharibu amani ya nchi. Inauma lakini imeze hivyo hivyo shekhe.
Credit to Jeff masawe