Inakatisha tamaa unapo mtumia sms naibu waziri tamisemi anayesimamia elimu kumuuliza ni lini wataajiri walimu wapya naye kujibu "bado mtajulishwa". Jibu la haraka haraka nalolipata ni kuwa naye hajui wataajiri walimu au bado sana ajira kutoka ndio maana hajataja mwezi gani watatoa.
niliambiwa kwa mikoa ambayo mazingira ya kufanyia kazi walimu wapya upewa kianzia maisha cha Tsh 400000 na kidogo, kwa mikoa yenye mazingira magumu ya kufanyia kazi {mikoa ya pembezoni; mtwara, lindi,ruvuma, kigoma, rukwa,katavi} kianzia maisha ni zaidi ya Tsh 600000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.