Recent content by Mngoni asiyepiga gambe

  1. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Kwako ni zipi ni mechi bora zaidi za world cup 2026

    Spain na Belgium 🔥🔥,usingefikiria kuwa Spain angekuwa bingwa jinsi alivyotaabika kwa Belgium ambayo haikuwa tishio kivile
  2. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Kwako ni zipi ni mechi bora zaidi za world cup 2026

    Yes nimekumbuka DRC na Portugal ilikuwa 🔥🔥
  3. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Kwako ni zipi ni mechi bora zaidi za world cup 2026

    Sikupata bahati ya kuangalia hii game ila kwa highlights tu ilikuwa fire 🔥🔥
  4. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Kwako ni zipi ni mechi bora zaidi za world cup 2026

    Inategemea na focus yako unapouangalia mpira wapo wanaosubiri kushangilia magoli,wapo wanaojifunza mbinu za timu,ubora wa wachezaji n.k .hili kundi la mwisho anaweza kuangalia akairudia mechi hata mara 3
  5. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Kwako ni zipi ni mechi bora zaidi za world cup 2026

    Ubora wa mechi unachangiwa na vitu vingi mfano; intensity ya mechi,element of suprise,Level ya ushindani na ufundi,vibe la nje ya uwanja, mvuto wa wachezaji husika, n.k kwa mtazamo wangu Hizi ni mechi bora zaidi world cup 2026 1. Brazil vs Morocco surpsise kubwa ya kiwango bora cha Morocco...
  6. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Ushabiki wa Simba na Yanga Kila Wikiendi: Je, ni Upendo wa Mpira, Tiba ya Stress za Maisha, au ni Mtego wa Kisiasa na Kibepari Unaomnyonya Kijana?

    Stress za maisha ofcourse ila pia wanasiasa nao wanapita na upepo huo huo ku divert attention
  7. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Kwa wahenga wenzangu naitafuta hii nyimbo

    Nimeitafuta sana You tube kwa jina hilo la neema ila sijaipata boss
  8. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Kwa wahenga wenzangu naitafuta hii nyimbo

    Nyimbo ya dansi sikumbuki vizuri imeimbwa na bendi gani (nahisi tu ni daimond Sound) inaimbwa hivi "Nashangaa na maneno yako umekuwa kigeugeu aah neema tunapopendana na wewe umenitamkia mwenyewe nakupenda japo huna kitu Chorus " Neema kumbuka kupata ni majaliwa mapenzi sio mali wala kipato...
  9. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Je, utaratibu wa leseni sasa hivi mpaka upeleke cheti kipitishwe hasa class D?

    Habari ndo hiyo ukitaka ku renew lesen lazima uwe na cheti cha udereva(toka chuo kinachotambulika) ama vinginevyo rudi darasani
  10. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Hivi Hassan Rehan Bichuka alishawahi kuhudumu Msondo Ngoma?

    Katika albam ya Msondo ngoma Rabana ya 2000 kashiriki kaimba nyimbo zote mule na kwa upekee nyimbo za Rabana na Chuma kikoli moto utunzi wa Suleiman Mwanyiro
  11. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Nafkiri hakuna kitu kigumu kugain kwenye mazoezi kama Lower ABS na OBLIQUES

    Ni muhimu kufanya mazoezi anuai ili kuleta matokeo kwenye mwili mzima kabla ya kufocus na tumbo kwa maana mwili unapoteza fat kama single unit, kupunguza chakula ni muhimu zaidi
  12. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Simba tujitahidi sana kumlinda kocha Fadlu Davids

    Fair point
  13. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Simba tujitahidi sana kumlinda kocha Fadlu Davids

    Wakati mwingine ni namna ya kuanza upya au ukuaji wa timu au huenda kocha akatamani kupiga hatua zaidi sitegemei Fadlu kukaa zaidi ya miaka miwili au mitatu
  14. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Simba tujitahidi sana kumlinda kocha Fadlu Davids

    Kabisa
  15. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Tanzania Simba tujitahidi sana kumlinda kocha Fadlu Davids

    Nadhan alitaka kushikilia bomba kipindi cha kwanza angalau iwe bila bila then kipindi cha pili aje na mfumo wa back 3 kama suprise angeanza na huo mfumo mapema huenda angekuwa amewahi kucheza karata yake ya siri ,ila kama kocha unapanga lako ila hauwezi ku control kinachotokea uwanjani
Back
Top Bottom