Recent content by Mngoni asiyepiga gambe

  1. Mngoni asiyepiga gambe

    Je, utaratibu wa leseni sasa hivi mpaka upeleke cheti kipitishwe hasa class D?

    Habari ndo hiyo ukitaka ku renew lesen lazima uwe na cheti cha udereva(toka chuo kinachotambulika) ama vinginevyo rudi darasani
  2. Mngoni asiyepiga gambe

    Hivi Hassan Rehan Bichuka alishawahi kuhudumu Msondo Ngoma?

    Katika albam ya Msondo ngoma Rabana ya 2000 kashiriki kaimba nyimbo zote mule na kwa upekee nyimbo za Rabana na Chuma kikoli moto utunzi wa Suleiman Mwanyiro
  3. Mngoni asiyepiga gambe

    Nafkiri hakuna kitu kigumu kugain kwenye mazoezi kama Lower ABS na OBLIQUES

    Ni muhimu kufanya mazoezi anuai ili kuleta matokeo kwenye mwili mzima kabla ya kufocus na tumbo kwa maana mwili unapoteza fat kama single unit, kupunguza chakula ni muhimu zaidi
  4. Mngoni asiyepiga gambe

    Simba tujitahidi sana kumlinda kocha Fadlu Davids

    Wakati mwingine ni namna ya kuanza upya au ukuaji wa timu au huenda kocha akatamani kupiga hatua zaidi sitegemei Fadlu kukaa zaidi ya miaka miwili au mitatu
  5. Mngoni asiyepiga gambe

    Simba tujitahidi sana kumlinda kocha Fadlu Davids

    Nadhan alitaka kushikilia bomba kipindi cha kwanza angalau iwe bila bila then kipindi cha pili aje na mfumo wa back 3 kama suprise angeanza na huo mfumo mapema huenda angekuwa amewahi kucheza karata yake ya siri ,ila kama kocha unapanga lako ila hauwezi ku control kinachotokea uwanjani
  6. Mngoni asiyepiga gambe

    Simba tujitahidi sana kumlinda kocha Fadlu Davids

    Kwa kile nilichokiona jana mbali na kuwa na mchezo mgumu ila jambo moja la uhakika ni kuwa Simba tuna kocha wa maana sub ya kipindi cha pili ya kumtoa Kibu na kumuingiza Nouma ilikuwa kete muhimu sana kulinda timu kutokana na maafa ambayo yangeweza kutukuta ,kuna mambo mawili kocha alitaka...
  7. Mngoni asiyepiga gambe

    Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

    Mi naona umeshinda kwa hoja na dini yako iko sahihi kwenye kila kitu sie wengine tuachen na upotevu wetu
  8. Mngoni asiyepiga gambe

    Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

    Kuna wakati unajikuta unaona uvivu kubishana mambo ya dini maana hatuwez kufikia muafaka
  9. Mngoni asiyepiga gambe

    Ishi kistaarabu ukiwa ugenini,dumisha mahusiano ya undugu au ukaribu wenu

    16. Tambua ABC kuhusu familia au jamii inayozunguka mfano kama ni watu wa kilimo jua mawili matatu kuhusu kilimo chao,changamoto na mfumo wa maisha kiujumla itasaidia kuleta connection ya haraka kati yako na wenyeji na watakuona ni miongoni mwao. 17. Kuwa mwepesi kuwakariri watu kwa majina na...
  10. Mngoni asiyepiga gambe

    Wengi mpaka leo hatujui kiliongelewa nini kwenye Ngangari ya Gangwe Mobb, mliojua tunaomba mtusaidie

    Bundesliga kiatu mtu zima nakata pipa kipanga butu wa e waa waaa usijitus uuuuuuuuuuuush thubutuuuuu
  11. Mngoni asiyepiga gambe

    Mshabiki kindakindaki wa Mnyama, Simba SC ila nasimama na Yanga SC wapite kwenda robo fainali

    Ofcz pia kuingia robo fainali sio big issue ingawa wakivuka zaidi ya hapo tutateseka
Back
Top Bottom