Naomba mwenye kujua ni gari gani kali yenye sifa hizi naweza pata kwa pesa hiyo?
1. Muonekano (iwe na mvuto kwa macho)
2. Economy (ulaji wa mafuta)
3. Space (iwe na nafasi)
4. Yakuendeshwa na kijana wa kileo
5. Upatikanaji wa spare.
Kama ambavyo nimeuliza hapo juu nina uhitaji mkubwa wa kitabu hiki. Nilikisoma juu juu tu nilipo shule lakini sasa naona kuna haja ya kukirudia tena na tena nahisi huyu mwandishi aliandika hiki kitabu zama hizi lakini kilichapishwa zama zile.
Biashara ya vitu kama hivyo Unawezaje kutaja bei wakati swala la makubaliano kati ya muuzaji na mnunuzi? Maelezo yakutosha ni Wapi maeneo hayo yapo fulsa zilizopo zimeelezwa kwenye maelezo ya msingi. Sasa zaidi ya hapo Ukiwa umeona kuwa ni fulsa kwako basi utatafuta namna ya kufafanuliwa zaidi...
Viwanja hivi vipo umbali usiozid kilomita 3 toka barabara kuu ya kilwa. Maeneo viwanja vilipo ni vikindu mkuranga.karibu kabisa na kinapojengwa Chuo kikubwa cha st Augustin. Kwa wasiliano zaidi tuwasiliane kupitia namba 0713189336
0625550306
0687800681
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunavitu watu wanaongea kama sijui wanatumia akili za usiku.Leo tupime mtu kwa utendaji na sio CV kunasababu gani za kuwa na vyeti? Ni ujinga kutetea hili kwani unapozungumzia CV za mtu zinahusisha na utendaji ndani yake lakini tutampimaje mtu kwa maneno yake tu? Maana hata hayo matendo mengi...
Mtu Kasema kutokana na mtazamo wake. Wew kama unahoja yenye mashiko tuambie amefanya hivi amefanya vile ni simple mbona ila sio kutuambia jumla jumla tu amefanya vitu ni vitu gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.