Inabidi serikali iregulate haya makanisa. Infact sio makanisa ni Culty.
Watu wanakua maskini kwa kupeleka hela zao zote.
Watu wanakufa kwa kuacha dawa zao za hospitali na kuamini maombi yatawaponya.
Kwa hiyo wewe unaona ni sawa huyu mhubiri kuwahubiria watu wafunge mpaka kufa ili wamwone Yesu, wakati yeye anakula kwa siri. Dini zimetumika vibaya kurudisha nyuma maendeleo ya Africa
Haya makanisa yetu ya lilokole hapa TZ, yana tofauti gani na kanisa la huyo Paul Mackenzie wa Kenya. Yule aliyesababisha watu kufariki Moshi kwa ajili ya kukanyaga mafuta alichukuliwa hatua gani?
Waafrika ni wanafiki sana na ndio maana wakoloni walitutawala kirahisi na kituuza utumwani.
Yanayotikea Belarus leo, viongozi wengi wa nchi jirani wanakemea na kutaka uchaguzi huru na haki ufanyike na maamuzi ya wananchi walio wengi yaheshimiwe.
Tuje hapa Afrika bara la wanafiki, kiongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.