Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,396
- 6,363
Je hivyo vipimo vipo?Kwanini sisi hatupimi? Tuliambiwa marekebisho ya Maabara yanafanyika, je yanafanyika hadi lini? Au ndiyo imeshatoka kwamba Tanzania hakutakuwa na TESTING tena na ndiyo tunaaminishwa kwamba Mungu kasikia sala zetu hivyo corona imepungua sana au TUMESHAISHINDA!?