hii mada inanitia wazimu nimeruka na manzi mmoja nilikutana naye kama mara mbili tunapotezana leo tumeona nikashtuka kimoja nikakumbuka na vipimo kumpinga imo nikamzuga hivi vime expire twende zahanati kupima imo kesho nampelekea akaanza dawa mm natakiwa nikapewa leo ila hiyo kesho naona...
kwahyo ww ndo umejiona una akili hapokuwa taifa Moja kabla sio sababu umbali uliopo Leo hii Tanzania ikitoka vipande vitatu Mwanza na mtwara kuwa nchi Moja ngumu kutokana katikati Kuna ncho ya Dodoma na ndo mdau alichotaka kueleweshw ilikuwaje wakawa nchi Moja na umbali ulishawatenganisha...
lakini alichouliza mdau tofauti na mfano uliotoa Gaza na westbank mwanzo zilikuwa zimeungana kabla ya muisrael kutwaa maeneo na kuzitenganisha mipaka inayo tambuliwa na umoja wa mataifa zimeungana
Mgongo na kiuno vinanisumbua x ray nimepiga nimeambiwa sina tatizo ila napata maumivu kwenye pingili ya mgongo na kiunoni haswa nikiinama au nikikaa muda mrefu nimefanya matibabu ya pyhixio lakini bado mwenye kujua dawa yeyote iwe ya dukani au asili anielekeze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.