Recent content by Mnandi Jr

  1. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Naendelea kuwaambia

    HUyu kijana wa miaka 30 hela amezitafuta saangapi?! Kuanzi akiwa na miaka 7mpaka walau miaka 27 alilundikwa darasania akitafuta elimu, je hii miaka 3 inatosha kutafuta hela unayoizungumzia?
  2. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Hodi wana JF

    Waheshimishe.
  3. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Hodi wana JF

    Mhahahah!! sio mbaya, ndivo ulivyoamua kuwaza.
  4. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Hodi wana JF

    Kwanin mkuu
  5. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Hodi wana JF

    Asante mkuu.
  6. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Hodi wana JF

    Salam Kwa mara ya kwanza namejiunga JF rasmi, heshima kwenu wadau Kwa niaba ya wengi naomba niwataje wakuu kadhaa walio nivutia zaidi kuingia humu. 1. Robert H. Mtibeli 2.Mshana jr 3.Tate mkuu 4.Chai ya rangi 5.Pascal mayala na wengine wengi. Kongole kwenu wana JF wote. Salam kwa familia.
Back
Top Bottom