Recent content by Mnandi Jr

  1. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Mipango ya siri ya Walokole na WAKRISTO kumuua Civilian-Coin kisa hamwamini Yesu Kama Mungu wao imevuja.

    Ukiacha mengine, na kaudini nako kanachangia😜
  2. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Abiria wametelekezwa na wahudumu wa basi la Al-said Dar-Morogoro. Wuko Mbezi Magufuli bus teminal

    Tiketi tunazo mkuu, na muda wa tiketi unaonyesha saa saba na nusu
  3. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Abiria wametelekezwa na wahudumu wa basi la Al-said Dar-Morogoro. Wuko Mbezi Magufuli bus teminal

    Salam wakuu. Tuko Mbezi Magufuli bus teminal, Abiria wametelekezwa na wahudumu wa basi la Al-said Dar-Morogoro, Tumeambiwa gari inakuja saa nane mchana, mpaka mda huu saa kumi na mbili jioni gari hakuna, Wahudumu waliokata tiketi hawatoi majibu ya kueleweka. Na wote wameondoka hapa hatujui...
  4. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Aliyekatazwa asicheze na mimi utotoni, leo anashangaa maisha ninayoishi. Tatizo halikuwa mimi, bali namna alivyolelewa

    Kinachotakiwa nikumlea "mtoto katika njia impasayo". Kumuweka mtoto geti kali sio sawa, pia kumpa uhuru zaidi wa kufanya kila anachojiskia sio sawa
  5. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Ushawahi kukata tamaa kuwa siingii JF tena halafu zikapita siku 3 au 4 ukarudi mwenyewe bila kuombwa?

    Kuichukulia jf sirius ni kutafuta stres
  6. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Anza kuwa na mtetemo⚡ ndani yako kisha vuta kitu kuja kwako

    Kazi nzuri, ni ushauri tu mkuu, kama ratiba zako zinaruhusu ungekua unaweka nyuzi za aina hii kila siku, au hata mara moja kwa wiki. Unaweza ukaona watu wachache wamekomenti postive wengi wakawa negative, hiyo isikuvunje moyo, tupo tunaonufaika. Na pengine ukaja kupata matunda kwa kazi yako njema.
  7. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Ni member yupi mpya unaona ana trend sana JF

    Zama hizo nikiwa bado mjinga mjinga, nilijua watu wote wanaojiunga jf ni wenye akili timamu sasa ndio naona kumbe ni kinyume chake.
  8. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu mzima akilala hawezi kuanguka kitandani anapojigeuza

    "Ubongo hujifunza kukariri ukubwa wa kitanda chako tangu utoto". Kuna sisi ambao utotoni mwetu tumekua tukilala kwenye turubai lilitandikwa chumba kizima, unagalagala utakavyo. Tumekuja kulalia magodoro ukubwani, na hatukuwahi kuanguka, je ubongo ulijifunza na kukariri muda gani?
  9. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Vijana nyie wajinga sana

    Kishawaka huku, aliekaribu ampongeze muhudumu kwa kazi nzuri..
  10. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania "Iishi tanzania, iishi afrika"

    Tanzania ni yetu, hakuna mtu kutoka nje atakuja kuijenga tanzania tunayoitaka bali ni sisi wenyewe. Hayari patrce lumumba wa DRC Congo aliwahi kusema "...bila haki hakuna uhuru, na bila uhuru hakuna watu huru". Lumumba ni kijana alijitoa kupigania haki ya taifa lake, alikua tayari kufa ili...
  11. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Marekani Mtu Kaapishwa Kuwa Seneta Kumalizia Muhula Wa Kaka Yake Aliyefariki Dunia. Ingefanyika Tanzania Ungeona CHADEMA wanapiga Kelele Kama Walevi

    Kwahiyo kila wanachofanya nchi za nje ndio ukilete huku kwetu? Mama ako si aliwauliza "how are you" swali ambalo wanatarajia kulijibu kwa vitendo.
  12. Mnandi Jr

    JamiiForums Tanzania Joseph Selasini asimamishwa kujihusisha na shughuli za Chadema, apewa siku 14 kujieleza kwanini asivuliwe uanachama

    Chanzo cha taarifa tafadhali. Unaweza ukatoa ya moyoni kumbe ni mtu kashiba ugali na matembele akaamua kubadilisha upepo.
Back
Top Bottom