Salam wakuu.
Tuko Mbezi Magufuli bus teminal, Abiria wametelekezwa na wahudumu wa basi la Al-said Dar-Morogoro,
Tumeambiwa gari inakuja saa nane mchana, mpaka mda huu saa kumi na mbili jioni gari hakuna,
Wahudumu waliokata tiketi hawatoi majibu ya kueleweka. Na wote wameondoka hapa hatujui...
Kazi nzuri, ni ushauri tu mkuu, kama ratiba zako zinaruhusu ungekua unaweka nyuzi za aina hii kila siku, au hata mara moja kwa wiki.
Unaweza ukaona watu wachache wamekomenti postive wengi wakawa negative, hiyo isikuvunje moyo, tupo tunaonufaika. Na pengine ukaja kupata matunda kwa kazi yako njema.
"Ubongo hujifunza kukariri ukubwa wa kitanda chako tangu utoto".
Kuna sisi ambao utotoni mwetu tumekua tukilala kwenye turubai lilitandikwa chumba kizima, unagalagala utakavyo.
Tumekuja kulalia magodoro ukubwani, na hatukuwahi kuanguka, je ubongo ulijifunza na kukariri muda gani?
Tanzania ni yetu, hakuna mtu kutoka nje atakuja kuijenga tanzania tunayoitaka bali ni sisi wenyewe.
Hayari patrce lumumba wa DRC Congo aliwahi kusema "...bila haki hakuna uhuru, na bila uhuru hakuna watu huru".
Lumumba ni kijana alijitoa kupigania haki ya taifa lake, alikua tayari kufa ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.