Salam.
nani kumrithi nchimbi? Je ni januari makamba? Au ni dotto biteko?
je ni palamagamba kabudi au ni poul makonda?
isije ikawa ni mwigulu nchemba! Au ridhiwani kikwete?
amani iwe nanyi..
Salam wakuu.
Hongereni kwa kuendelea kuidumisha JF,
Nimekua nje ya jf kwa muda kidogo, ila hv karibuni nitarejea rasmi.
Lengo la uzi, ni kua ikiwa kuna mwana JF yupo morogoro maeneo ya mikese tuchekiane anipe location walau tupate viwili vitatu, nipo hapa tangu wiki iliyopita bado sijayajua...
Salam wakuu.
Tuko Mbezi Magufuli bus teminal, Abiria wametelekezwa na wahudumu wa basi la Al-said Dar-Morogoro,
Tumeambiwa gari inakuja saa nane mchana, mpaka mda huu saa kumi na mbili jioni gari hakuna,
Wahudumu waliokata tiketi hawatoi majibu ya kueleweka. Na wote wameondoka hapa hatujui...
Kazi nzuri, ni ushauri tu mkuu, kama ratiba zako zinaruhusu ungekua unaweka nyuzi za aina hii kila siku, au hata mara moja kwa wiki.
Unaweza ukaona watu wachache wamekomenti postive wengi wakawa negative, hiyo isikuvunje moyo, tupo tunaonufaika. Na pengine ukaja kupata matunda kwa kazi yako njema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.