HUyu kijana wa miaka 30 hela amezitafuta saangapi?! Kuanzi akiwa na miaka 7mpaka walau miaka 27 alilundikwa darasania akitafuta elimu, je hii miaka 3 inatosha kutafuta hela unayoizungumzia?
Salam
Kwa mara ya kwanza namejiunga JF rasmi, heshima kwenu wadau
Kwa niaba ya wengi naomba niwataje wakuu kadhaa walio nivutia zaidi kuingia humu.
1. Robert H. Mtibeli
2.Mshana jr
3.Tate mkuu
4.Chai ya rangi
5.Pascal mayala na wengine wengi.
Kongole kwenu wana JF wote. Salam kwa familia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.