Kuna baadhi ya kata zilitakiwa kurudia kura za maoni za uteuzi wa madiwani. Mojawapo ya Kata ni ile ya Ulemo ambayo Dkt. Mwigulu Nchemba alihakikisha iwe isiwe Diwani aliyekuwepo asiongoze tena. Mengi yalifanyika kuhakikisha hilo linafanikiwa.
Binafsi niliandika barua kwa uongozi wa Wilaya na...
Akili ndogo siku zote hazifikirii kamwe! Tundu Lissu alisema "Wakiibiwa kura wataingia barabarani, sio kuwa wakishindwa uchaguzi". Mbona mnapenda kuwawekea watu maneno midomoni? Faki Yuu Meni!
Kwanza Mama mwenyewe huyo huwa mdhulumaji - kule Dodoma alimdhulumu rafiki yangu mmoja wakati anamsimamia ujenzi wa nyumba zake kwa kugoma kumlipa. Mbaya sana huyo mama!
Badala yake Lissu anatakiwa anene kwenye Kampeni kuwa FlyOver na SGR zikikamilika kama yeye akiingia madarakani ataziita Magufuli Flyover na Magufuli SGR! Itakuwa imetulia sana hiyo!
Tunasubiri tu walete jina lake, madiwani wale ambao amehakikisha hawaongozi kura za maoni tutahakikisha wanahamia upinzani na kushawishi wapiga kura wao ama wamwondoe Dkt. Mwigulu au wampunguzie kura zake na pia kuhakikisha upinzani unapata madiwani Jimbo la Iramba. Tunasubiri juma moja tu mambo...
Ninaandika hivi kama MwanaCCM mwenye uchungu na Chama changu na ninayeamini usafi katika kutumikia umma. Ninatokea kijiji cha Simbalungwala ambacho ni jirani na kijiji cha Makunda anapotoka Dkt. Mwigulu Nchemba na pia jirani na Ulemo kijiji ambacho Dkt. Mwigulu Nchemba kajenga na ndipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.