- Thread starter
- #21
Asante Ndugu Mtazamaji!Pole ndugu mjumbe
analipiza kisasi na kuunda timu itakayomtii yeye awe na madaraka ama akiwa mbunge
na hampo upande wake...lazima awafyeke
la maana Muungen mkono mgombea wa 'ni YEYE' hata kwa siri...hamwezi kupambana naye mtakuwa viroba