Hapa tumlaumu nani? Wananchi wenyewe hawana elimu ya kutosha ukichangia na umasikini kila mmoja wapo anatafuta zaidi unafuu afya baadaye. Na ni kwa mambo mengi yanayotuzunguka hatuna ulinzi nayo.
Huyo Irovya anataka kujisafisha tu tangu lini kesi ya ndedere ukaipeleka kwa nyani aunde tume huru aone vimbwanga na unawezakuta naye yumo. Teh teh teh.....
Sawa lazima uweke na description ya hizo mbao kama vile treated mninga mpodo urefu na wapi wapatikana bei zake nk tujifunze kuwa wafanyabiashara makini
Wana jamvi.
Mimi naona haya maduka makubwa yamezidi kutuibia chenji zetu pindi tunapolipia bidhaa tunazohitaji. Nimekua nafuatilia kila mara ninunuapo bidhaa utakuta bei zimewekwa kwa staili ambayo ni matumaini ya wengi hawagundui kuibiwa.
Bidhaa nyingi huwa zinaishia na sent mfano kuku...
Wana jamvi.
MImI naona haya maduka makubwa yamezidi kutuibia chenji zetu pindi tunapolipia bidhaa tunazohitaji. Nimekua nafuatilia kila mara ninunuapo bidhaa utakuta bei zimewekwa kwa staili ambayo ni matumaini ya wengi hawagundui kuibiwa. Bidhaa nyingi huwa zinaishia na sent mfano kuku broiler...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.