Sikiliza ndugu yangu achana na propaganda Za Usalama wa Taifa ambao kwa bahati mbaya wanafanya kazi Za usalama wa CCM!
Serikali ina vyombo kibao kuchunguza na kubaini Ukweli, kufungua Kesi Mahakamani n.k.
Kupitia vyombo vyake Serikali ilitakiwa iwe imeishafanyia kazi hadi leo miaka zaidi ya 7...
Ingawa mada ni tofauti lakini huwa nashangaa nikienda Mahakama Kuu:
Yaani mnasubiria kuitwa Kwenye Kesi mko kama 100 Halafu wote mmesimama hakuna viti! Yaani hakuna utaratibu ni kelele tupu. Mawakili kelele mtindo mmoja! Yaani hakuna ustaarabu kabisa!
Hivi nyingi Watu wa Mahakama hakuna Akili...
Kusema Ukweli Munawar hukufanya vizuri ktk post yako. Kwani ilikuwa ni lazima huyo Jamaa anunue kwako?
Ukiongea na Mtu biashara fulani kama hajatoa Pesa na wewe kumpa bidhaa anabaki kuwa "prospect" tu - siku yoyote anaweza Nunua bidhaa hiyo toka kwako!
Yaani inaudhi. Watu wanakuwa kama bendera? Upepo ukivuma hivi wanageukia huko, ukibadilika wanageukia huku.
Kabla hujajiunga na Chama fulani Chukua muda kusoma KATIBA, ilani na machapisho ya vyama ili ujue misingi ya vyama hivyo na ndipo uchague unapoona panakufaa. Sio Mara leo CCM, Kesho...
Nimejaribu ku-login toka Simu nyingine imegoma. Sijui ni kwangu tu au ndo ilivyo. Hebu wadau jaribuni na nyinyi.
Kama ni hivyo basi ki-security ni nzuri lakini sioni ubunifu wowote mpya! Ndo Ile nilisema ni NMB Mobile imrpatiwa GUI mpya basi.
Nakubaliana nawe. Asilimia kubwa ya Wizi unaotokea huanzia kwa mtumiaji!
Yaani wengine hata wakipigiwa Simu na matapeli wakaongeleshwa kidogo wanatoa mpaka pin (password) zao! Wanawaachia matapeli kuswap Simu zao na Kuhamisha Pesa.
Security ikianza na mtumiaji (mteja) tunakuwa tumeondoa...
NMB App ipo Kwenye play store na Mimi nishaanza kuitumia. Kimsingi sijaona kitu cha ajabu Labda naweza Sema ni NMB Mobile imepata Graphic User Interface ya kisasa!
Kimsingi inategemea channel ambayo tayari ipo yaani NMB Mobile.
Ili uitumie ni lazima uwe tayari umejiunga na NMB Mobile. Kumbuka...
Halafu EWURA wanatakiwa kujitizama upya. Walisifiwa wakalewa Sifa.
Mawasiliano waliyoweka Kwenye website Yao hayafanyi kazi. Simu hazifanyi kazi na Hata email ukituma ina-bounce. Sasa wanapataje feedback Zetu? - mpaka uwafuate ofisini!!!
Mambo hayo yamepitwa na Wakati!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.