Ngoja ni-nene nliyojifunza hapa kwa faida ya wengine sharing is caring.
1. Dukani pawe na software nzuri yenye maingizo/mauzo/stock kifupi moments zote za dukani ziwe systematically.
2. Tenga muda, au weka mkakati au utaratibu wa kufungua box uangalie kilichomo ndani (Fanya randomly) na...
Kwa Nini usibaki na biashara moja au mbili unazofanya vizuri ukawa na location nzuri na usimamizi mzuri. Biashara kuwa nazo nyingi tofauti tofauti wkt management yake Bado pia inakupasua kichwa utajikuta mtaji unavuja sehemu.
Wakati nauza vinjwayji nlibahatika kupata frem pahala pengine mkoa huo huo nkawa nauza mayai jumla. Jirani yangu alikua na duka la jumla "Ngosha" kupitia namna alivyo ipelekea biashara yake kwa kweli alikua ana ni inspire sana.
1. Ana Fanya delivery kuanzia saa 12 asbh licha ya boda zingine...
Ukweli ni kwamba nimejifunza nkivyotaka kuvifahamu. Mimi nilifanya biashara ya jumla ila ilikua vinywaji (juice za viwabdani, energy, maji). Changamoto za hapa na pale ikiwemo za kifamilia zikaingilia Kati nikastop. Ila nataka kurudi Tena kwa location ya Dar this time.
Nikizungumzia biashara...
Nipe uzoefu kwenye hili. Si wanasema Hawa bloiler wanaenda sokoni week ya nne? Kuna jirani yangu anawapeleka week ya 3. Lakini Kwa maelezo Yako naona mpk week ya 6. Je, lipo lifuatwe? Na more days si ndio wanakula faida then??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.