Mimi niliajiriwa na diploma ya ualimu baadae nikaenda kusoma first degree niliporudi nikaandika barua ya kubadirisha muundo kwa maana nitambulike Nina degree kilichotokea wale wenzangu nilioanza nao kazi lakini hawakwenda kusoma wamepandishwa daraja na mishahara kurekebishiwa Mimi naambiwa...
hapo hakuna ulichosema cha maana,ebu jiulize hiyo 3g wangapi wanatumia kwa tanzania hii?kuhusu nyumba za bati kwa miaka54 tulipaswa kuondoa nyumba za nyasi kwa walau50%ila nenda vijijini ukaone tembe zilivyo choka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.