Recent content by mmteule

  1. M

    Mchezaji gani wa nje amekuwa bora zaidi wa muda wote kwako?

    Emmanuel OKWI hana mpinzani hapo. Kwanza alikaaa muda mrefu kwenye ligi. Pili alipita Vilabu Simba na Yanga kwa mafanikio. Tatu alikaa kwenye ubora wa kufumania nyavu kwa kipindi kirefu zaidi. Nne nidhamu ya hali ya juu.
  2. M

    Tujifunze kuambizana. Hata kama kwa uchungu

    Tumekuwa watu wa kusema; Tulijua tuuu hili litatokea! Lkn Mkuu watu hao wanaambiwa sana tu tatizo wanaakuwa wabishi! Mf. Hapa JF kuna nyuzi ngapi za kumsihi Mhe. Makonda kuwa na mwenendo usio wa kubagaza watu na kukejeli? Je, hazisomi? Kwanini habadiliki? Mkuu unaambiwa Sikio la kufa haliskii dawa.
  3. M

    Angalia nyendo zako usije kuwa deleted

    Umepita na boda boda kama kishada kwa mwendo wa roketi, lkn umeweza kuchunguza bastora ukaona ina kiwambo cha kuzuia sauti na ukachunguza idadi ya watu kwenye gari. Anyway JF riwaya zimekuwa nyingi
  4. M

    APR Rwanda wanamtaka Aziz Ki wa 1 million usd ($ 1million)

    APR anatafuta umaarufu na Followers kupitia Aziz Ki na Tanzania kwa ujumla. Hivi kweli leo Simba annaweza kuuliza bei ya MUDAU kweli?
  5. M

    TMA wakitoa tahadhari ya hali mbaya ya hewa shule zifungwe kwa kipindi hicho, tusisubiri wengine wazame tena

    Saa 4 usiku mtoto yuko barabarani halafu mzazi uko wapi?? Narudia Kuzaa si kazi, Kazi kulea! Wazazi tuwajibike. Watoto wengi wapo hapo barabarani hawana hata nauli wanasubiri lifti tu huko majumbani hamuwapi nauli. Halafu unajiita mzazi shiiiiit
  6. M

    Ujinga niliokutana nao wakati na-date na kitoto cha 2000s

    Kwa Heshima yako hapa jukwaani, heshima ulinayo nayo kwa WanaSimba huu uzi wa leo umecheza kama Yikpe! Hizi stori waachie kina deep pond kaka ukirudia tunakuvua Nyota zote!
  7. M

    TMA wakitoa tahadhari ya hali mbaya ya hewa shule zifungwe kwa kipindi hicho, tusisubiri wengine wazame tena

    Mzazi Usalama wa mwanao uko mikonoi mwako, na unapaswa kuhakikisha anakuwa salama. Kama ulivyotaarifiwa kuchukua tahadhari ya Mvua kwanini usimpeleke mwanao shule? Kwanini usimtafutie namna mbadala iliyo salama? Haya umeshindwa vyote umekosa hata 1500 ya kununua mwamvuli kwa mwanao ajikinge na...
  8. M

    Trafiki wa Nzega watafutiwe muarobaini

    Traffic wa KIBAHA mzani wa Zamani, Traffiki wa Morogoro Mikese, Traffiki wa Singida mjini kwenye Mawe Pale, Traffiki wa Bariadi Mjini mmoja wao ameungua Meno. Hivi vikosi kutoboa bila kupigwa Cheti labda uwe unapeperusha Bendera ya CCM wana njaaa mpaka wanakera!
  9. M

    Saidoo anaaga Simba? Tazama hapa alichopost hivi punde

    Lile zee Saidooo alitakiwa kuondoka zamani sana angalau Baleke ama Phiri mmoja angebaki. Jitu lina uchoyo wa kutoa pasi utazan linacheza Draft! Aende tu akalee wajukuu hata nauli akipenda tutamchangia.
  10. M

    Huyu Jamaa hazeeki miaka Sasa yupo vile vile

    Siri ya kutozeeeka na kukunjamana uso ni ACHA POMBE, ACHA SIGARA, JIEPUSHE NA STRESS, FANYA MAZOEZI!
  11. M

    Tatizo la kichwa kuwa kizito sehemu ya nyuma na kuhisi kizunguzungu inaweza kuwa ni dalili ya changamoto gani?

    Fanya Mazoezi ya kutosha. Shiriki tendo la ndoa vya kutosha. Baada ya utapata vya kurejesha.
  12. M

    KERO Barabara ya Temeke ni mbovu, wahusika hamuioni?

    Mkuu hii hali iko Wilaya zote. Umefika Kimara Makurunge, Umefika Kifuru, Umefika Mbezi Msakuzi, Je Kigamboni. Njoo Mawezi to Kimanga kwenda hadi Kisukuru utaacha gari pembeni uchukue boda boda. Funga kazi fika Kisukuru useme unaenda Segerea kupitia njia ya Masilingi. Kwa kifupi Barabara za Jiji...
  13. M

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Nawaonea huruma sana watoto wawili walioachwa kwa Mama wa Kambo, wanenda kuteseka kwa ajili ya Umarioo wa Kijana wa Ovyo. Mke wa mtu usiguse jamani ni kifo!
  14. M

    Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli

    Hivi bado analindwa kama mwanzo? Nadhan, hizi drama za Lishe ni ni mpango kabambe wa kusahaulisha Umma ombwd lake. Lkn Mungu yupo
Back
Top Bottom