Wandishi wa Habari hawana msaada wapigwe tuu, Wamewekwa mfukoni na Wahuni hadi wanashindwa kutetea Utekaji, kufinya demokrasia wamekalia udakuu tuuu. Mbwa kala mbwaa tu hapo
Aliyejua Rugemalila, Malinzi, Sigh nk watakuja kulala Segerea ni nani. Upo wakati Chuma kitashika uskani hawa wahuni wote watafilisiwa tuu. Familia za akina Mramba na Karamagi leo wamebaki na nini kama sio kashfa na aibu kwa jamii??
Time will tell hakuna Ubaya wenye mwisho mwema.
Maswali haya yanakuhusu?
Uliingiaje kwenye kampuni inayoendekeza Ukabila kama unavyosema?
Kama kuna mwamba alikubeba mahusiano yake na hao uliowataja yakoje?
Tabia zako kuanzia Mdomo na mahusiano yakoje kiasi kwamba kile kilichofanya mwanzo wakupe nafasi kwa sasa hawakioni?
UnaHang out na watu...
Mkuu umenena vema sana.
Uwanja wetu wa Taifa umepoteza Mvuto wamejaza Viti vyeusi tiiiiiii Uwanja umekuwa giza totoro. Ndio shida ya Kumpa mtu kama KABUDI wizara ya Michezo! Hili ni aibu sana
Wazee wangu Butiku na Warioba Mungu ajitahidi kuwaweka Mbali na Machawa na Wahuni wa Timu Mtandao, Nyinyi pekee ndio mliobaki kuweza kukemea Huu ukwapuaji Mkubwa wa Mali za Umma. Hili la Ndugai ikawe homework kwenu kutambua nyinyi ndio hazina/kete pekee zilizobaki.
Awamu za Marais toka Zanzibar huwa zina visa.
Alipoingia Hayati MWINYI alituletea HAWA KUNGURU WEUSI ambao wamekula na kuua ndege aina zingine zote kwenye Ukanda wa Mikoa ya Pwani tuendelee kuomba wasije kufika kwenye Hifadhi zetu za Taifa.
Alipoingia Mgombe mwenza na JPM wa Kizmkaaaaz kaleta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.