Recent content by mmteule

  1. M

    DOKEZO Jeshi la Polisi Arusha limchukulie hatua Askari huyu aliyempora Mwandishi kamera akiwa kazini

    Wandishi wa Habari hawana msaada wapigwe tuu, Wamewekwa mfukoni na Wahuni hadi wanashindwa kutetea Utekaji, kufinya demokrasia wamekalia udakuu tuuu. Mbwa kala mbwaa tu hapo
  2. M

    Wote tusome hapa kama wazalendo wa nchi yetu na tutoe maamuzi

    Aliyejua Rugemalila, Malinzi, Sigh nk watakuja kulala Segerea ni nani. Upo wakati Chuma kitashika uskani hawa wahuni wote watafilisiwa tuu. Familia za akina Mramba na Karamagi leo wamebaki na nini kama sio kashfa na aibu kwa jamii?? Time will tell hakuna Ubaya wenye mwisho mwema.
  3. M

    Hii picha za Hayati Magufuli msibani kwa Kijazi ilizungumza mengi sana

    Timu wazalendo ilipoteza 4 squads kwa mpigo; 1. Mkapa 2. Kijazi 3. Mfugale 4. Magufuli Codiv ya Nyokweeee
  4. M

    Mwongozo wa barua ya kurudi kwa mwajiri wangu wa kwanza

    Kufanya kazi chuo chochote ujitoe ufahamu kwanza. Hao wakufunzi wanaDharau kwa staff wengine wanachukulia ka wanafunzi wao tu.
  5. M

    HR na Maboss punguzeni ukabila wakati wa usaili

    Maswali haya yanakuhusu? Uliingiaje kwenye kampuni inayoendekeza Ukabila kama unavyosema? Kama kuna mwamba alikubeba mahusiano yake na hao uliowataja yakoje? Tabia zako kuanzia Mdomo na mahusiano yakoje kiasi kwamba kile kilichofanya mwanzo wakupe nafasi kwa sasa hawakioni? UnaHang out na watu...
  6. M

    Rangi ya viti kwa Mkapa imeleta giza uwanjani

    Mkuu umenena vema sana. Uwanja wetu wa Taifa umepoteza Mvuto wamejaza Viti vyeusi tiiiiiii Uwanja umekuwa giza totoro. Ndio shida ya Kumpa mtu kama KABUDI wizara ya Michezo! Hili ni aibu sana
  7. M

    TV4Sale Nauza TV Samsung inch 55, bei kitonga

    Chukua 500 biashara leo leo PM ifuatwe
  8. M

    Bado Hadi sasa najiuliza kwanini klabu yangu ya Yanga waliacha kumsajili Shomari Kapombe

    Wakumbushe waaache Nafasi ya MUZAMIRU YASSIN maana huko Simba kabaki muosha vyombo akisubir kutua Utopoloni kula Pensheni
  9. M

    TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Wazee wangu Butiku na Warioba Mungu ajitahidi kuwaweka Mbali na Machawa na Wahuni wa Timu Mtandao, Nyinyi pekee ndio mliobaki kuweza kukemea Huu ukwapuaji Mkubwa wa Mali za Umma. Hili la Ndugai ikawe homework kwenu kutambua nyinyi ndio hazina/kete pekee zilizobaki.
  10. M

    Ninaiomba Serikali iingilie kati kuhusu hawa panya wapya hapa Dar ni kero

    Awamu za Marais toka Zanzibar huwa zina visa. Alipoingia Hayati MWINYI alituletea HAWA KUNGURU WEUSI ambao wamekula na kuua ndege aina zingine zote kwenye Ukanda wa Mikoa ya Pwani tuendelee kuomba wasije kufika kwenye Hifadhi zetu za Taifa. Alipoingia Mgombe mwenza na JPM wa Kizmkaaaaz kaleta...
  11. M

    Tetesi: Tarimba aangukia pua Kinondoni!

    Mungu ametenda miujiza yake. Gabachori arudi akatafute ugoro
Back
Top Bottom