Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliandaa wahudumu wa afya ya jamii kwa kuwagharamia mafunzo yaani Ada, malazi chuoni na chakula na kila kitu kuhusu mafunzo hayo.
Baada ya kumaliza wahitimu wanatakiwa kupewa vifaa vya kufanyia kazi kama baiskeli, vishkwambi na vifaa vingine...
Kuna mchakato ulipita wa kuwapata watu watakao pata mafunzo na baadae kuwa wahudumu wa Afya ngazi ya jamii kwa ile mikoa kumi ya kwanza. Sasa nataka kujua ni lini Hawa waliopatikana wataenda mafunzoni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.