Recent content by Mmiskiry

  1. Mmiskiry

    Uvujishaji mitihani

    Funguka kaka mi pia nahitaji msaada.....Nianzie wapi kuzuia hili lisiendelee
  2. Mmiskiry

    Uvujishaji mitihani

    Hivi ni kweli athari za uvujishaji mitihani katika Jamii huijui au unaongea kishabiki mkuu. Zingatia kizazi tunachokiandaa Zingatia tutakuwa na Viongozi wa Aina gani Zingatia tutakuwa na Watendaji wa Aina gani Zingatia pia taifa litakuwa katika hali gani. Yote yanayofanyika lazima yatuhusu...
  3. Mmiskiry

    Uvujishaji mitihani

    Kwahyo wewe ndio umeshauri au vipi?? Hapa tunahitaji kujua nani anaweza kushukhulika na hili suala likae Sawa.
  4. Mmiskiry

    Uvujishaji mitihani

    Hivi kama shule Kata Na Wilaya unayofanya kazi ikawa Ina utamaduni wa Kuvujisha Mitihani ya Ndani ya wilaya Ya Mkoa na Hata mitihani ya Taifa. Unatakiwa uchukue Hatua gani?? Na ukizingazia Wilaya nzima unakuta ndio michezo huo huo.
  5. Mmiskiry

    Ndugulile: Kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, ku-like wala kukomenti

    Hata za Happy Birthday mpaka umjue mtu hospitali aliyozaliwa ndio ulike na kukomenti[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
  6. Mmiskiry

    Kuhusu Afisa Elimu Anayeshutumiwa Kuomba Rushwa ya Ngono

    Unadhani kwa Tanzania hii viongozi wa chini wanasikiliza kero za walimu???
  7. Mmiskiry

    Kuhusu Afisa Elimu Anayeshutumiwa Kuomba Rushwa ya Ngono

    Naomba nielezeee kidogo shida zake japo kwa uchache. 1.Alishawahi kuwaambia Walimu Kwenye Semina ya mtihani wa Darasa la nne Watoke kwenye Semina kama wanaona hela ni kidogo.Malipo waliyotajiwa walimu hayakuwa ya kawaida kama siku zote kiasi kwamba ilihitajika Busara kuwaelekeza ila yeye...
  8. Mmiskiry

    Kaliua, Tabora: Suala la Mwalimu Johari Jumanne aliyedaiwa kupigwa na Mwalimu Mkuu kwa kuchelewa Shule lachukua sura Mpya

    Huo ndio ukweli ndugu kama shida ni barua toka Wizarani mbona kuna Jamaa Aliachwa pale Wilayani na % kubwa walioondolewa ni wanawake akiwemo huyo Johari na Mdada mmoja Alikuwa Afisa elimu Taaluma no 2 akiitwa Magreth..... Ni wazi huyo Afisa ana huo ujinga.
  9. Mmiskiry

    Kaliua, Tabora: Suala la Mwalimu Johari Jumanne aliyedaiwa kupigwa na Mwalimu Mkuu kwa kuchelewa Shule lachukua sura Mpya

    Hujui ndugu Afisa Elimu hyo wilaya ni Muhuni saana anapenda mambo yamuendee kwa upande wake ila sio mwalimu. Ni mtu wa ubabe saaana utasema sio mwalimu. Kuna kipindi aliwaambia walimu watoke kwenye semina kama wanaona hela ni kidogo tofauti na Afisa Elimu aliye staafu katika hyo wilaya alikuwa...
  10. Mmiskiry

    Kaliua, Tabora: Suala la Mwalimu Johari Jumanne aliyedaiwa kupigwa na Mwalimu Mkuu kwa kuchelewa Shule lachukua sura Mpya

    Huyo Afisa Elimu pia hata mimi kwa mwaka Ulioisha baada ya kutoka masomoni alimlazimisha Mwalimu mkuu Kupitia kwa Afisa Elimu Kata tuombe kuhamishwa kituo ili tupewe Uwalimu mkuu kinyume na Taratibu za kazi pale unapoamua Kumpa mtumishi PROMOTION yake. Kwa kifupi Mahinda hafai kuongoza Walimu...
  11. Mmiskiry

    Mafundi simu piteni hapa

    K. Koo mtaa wa Aggrey
  12. Mmiskiry

    Nataka kwenda Dubai au China kununua simu nipeni maelekezo mliowahi kwenda

    Kuna wajinga kazi yao kukatisha watu Tamaa tuu.
  13. Mmiskiry

    Usafirishaji wa mizigo toka China to Zanzibar

    Habari wadau naomba kufahamishwa kampuni inayosafirisha mizigo kwa njia ya meli toka China hadi Zanzibar kuna mzigo wangu nataka niupitishie huko. Msaada wadau.
Back
Top Bottom