Nataka kwenda Dubai au China kununua simu nipeni maelekezo mliowahi kwenda

Nauli toka Dar hadi Guangzhou ni kuanzia dollar 1200 hapo inategemea na siku hiyo ni go return

Nashauri pakia Ethiopia maana inatoa Kg nyingi.

Hii waweza book na kulipia mwenyewe au utembelee ofisi za Ethiopia. Mawakala huwa wanaongeza dollar 100 kwa kila ticket.

Ukifika Guangzhou uamuzi ni wako
Ukipakia Taxi utalipa hela nyingi inaweza fika 100 hadi 300yuan kama Laki hivi ili ufike Kati kati.

Au utumie Train yenyewe ni bei rahisi nadhani ni yuani chini ya 50


Hotel pia uchaguzi ni wako zipo ambazo utakuwa watu weusi ndio wengi na hizo bei zake ni ndogo kwa siku na zipo hotel za bei kubwa kazi kwako.

Kuhusu chakula kuna kihotel kwa Mtz wanapika chakula cha Ktz hapo Guangzhou.

Kutembezwa sokoni kuna Watz wako huko ila ndo hivyo ukienda nao wanakuongezea bei.

Kutuma mzigo unaweza kuja nao ila TRA airport hawatakuacha salama.
Au
Unalipia kwa Kg hao watz wanakutolea kwa dollar 10 kwa kila mzigo au 20000 kwa kila simu.
Wao wanajua wanavyofanya huko airport.
Unawapataje hao watanzania Apo earport maana mie sijawaona pale jk nataka niende cantona fear mwezi wa nne

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabaharia wafanyabiashara nimepata mpunga kidogo kama 20m kwamara yakwanza nataka kwenda dubai au china kununua simu hasa smartphone

Nimekuja kwenu kuomba ushauri mliowahi kwenda china au dubai kununua simu au vifaa vyaumeme naomba munieleweshe

1-Gharama zandege kwenda nakurudi

2-Nisehemu ipi nzuri kununulia mzigo kati dubai na china

3 -Kusafiri kutoka dsm hadi china au dubai huwa inachukua mda gani navipi hoteli zakule zabei yakawaida kwamfanya biashara mdogo anayeanza gharama zake zikoje

4 -Utaratibu wakusafilisha mzigo ukoje
Natangiza shukuran kwakuwa naamini mtanipatia maelekezo yakutosha namtanikumbusha na hata niliyoyasahau kwakuwa mimi itakuwa mara ya kwanza kabisa kifupi sijui chochote pia msisahau kuhusu huo mtaji ambao nahitaji kwenda nao itatosha kuanzia au inakuwaje

Nakushauri uende china kwasababu vitu ni bei nafuu sana na utapata idea ya vtu vingne pia

mimi naish huku ila sio guangzhou so nilipata nafasi ya kwenda kutembea guangzhou mwaka jana mwanzon

vitu vya kuwasaidia kwa experience na uelewa wangu kama atakae kuwa anajua zaid atanisahihisha

ticket mm za bei nafuu kabisa huwa nakata STA travels posta karibu na shule ya mtendeni jengo moja na Takims safaris n tours

hapo huwa napata ticket kuanzia laki 7 na ktu one way ya kwenda guangzhou ila ukate mwez kabla


kwa guangzhou inategemea sasa kama unakwenda kwaajili ya canton fair nakushauri ukae (wansheng wei) ni karibu sana na Canton na kama unataka kukaa mbal na maeneo waafrika waliojazana ...hio sehemu ni nafuu kwa hostels sio hoteli lkn hostels ni nzur sana ....anyway since ni mgeni hio sehemu inaweza ikawa mtihan kdogo hivyo waweza kaa (sanyuanli ) hapa kuna hoteli nying na za bei ya chini sana utapata chumba hadi cha elfu ishirini na ktu kupanda ila hadhi ya chumba ni kulingana na hela unayoilipia ...advantage ya hapa upo karibu na soko la nywele ..vipodoz ..na nguo ..walking distance na migahawa ya kiafrika ...pia soko la cm halipo mbali


kuna xiaobei ...hii ni kama posta ya guangzhou pia unaweza pata hotel nzur za kuanzia elfu 50 hv 40 kupanda ...advantage upo karibu na masoko


sasa basi una save vipi gharama zisizo za msingi

cha kwanza ...uwe na mwenyej ...wapo watu wanafanya io kaz ya kutembeza watu masokoni ila kwa experience yangu Wazanzibari wana bei ndogo sana kuliko wabongo ....mm nlimlipa mzenj elfu 70 kwa siku 3 kunitembeza masokon wakat wabongo wanataka hadi dollar 100 kwa siku

ishu ya pili ...ya kusave pesa guangzhou ni kununua chakula kwenye migahawa ya wachina (waislamu ) halal restaurants chakula ni close na chetu na nikizur kwa bei chee ...starting price ni elfu 4 hv wakat restaurant za kiafrika vyakula sahan had elfu 30 huko inafika

njia nyingne ya kusave hela guangzhou punguza matumiz ya taxi ...usafr wa gharama ndogo ni Treni ya underground (metro ) hii hadi airport mpaka hotel unayokwenda unaweza unganisha ukalilipa buku 3 au nne na ni umbali tuseme kimara mpaka mbagala hv wakat umbali huo taxi unalipa hadi elfu 60 hv

kingne chochote unachotaman kununua hakikisha upo kwenye soko sahihi ndio utapata bei nzur usione tu kiduka kinauza cm ukadhan ni bei nzur hapana nenda kwenye soko halisi la hio bidhaa utapata bei nzur

kingine ukifika sokon take your time zunguka kabla kufanya maamuz maana bei ni tofaut na wauzaj ni weng sana ...ukipanda taxi hakikisha unatoa pesa kamili .maana madereva taxi huwa wanatoa chenj hela feki sometimes ....usimwamini mtu na mizigo yako ..matapel weng hata waafrika

IMG_1497.JPG
IMG_1498.JPG
IMG_1499.JPG


mtaj huo 20m unatosha kabisa just go kila lakheri


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nakushauri uende china kwasababu vitu ni bei nafuu sana na utapata idea ya vtu vingne pia

mimi naish huku ila sio guangzhou so nilipata nafasi ya kwenda kutembea guangzhou mwaka jana mwanzon

vitu vya kuwasaidia kwa experience na uelewa wangu kama atakae kuwa anajua zaid atanisahihisha

ticket mm za bei nafuu kabisa huwa nakata STA travels posta karibu na shule ya mtendeni jengo moja na Takims safaris n tours

hapo huwa napata ticket kuanzia laki 7 na ktu one way ya kwenda guangzhou ila ukate mwez kabla


kwa guangzhou inategemea sasa kama unakwenda kwaajili ya canton fair nakushauri ukae (wansheng wei) ni karibu sana na Canton na kama unataka kukaa mbal na maeneo waafrika waliojazana ...hio sehemu ni nafuu kwa hostels sio hoteli lkn hostels ni nzur sana ....anyway since ni mgeni hio sehemu inaweza ikawa mtihan kdogo hivyo waweza kaa (sanyuanli ) hapa kuna hoteli nying na za bei ya chini sana utapata chumba hadi cha elfu ishirini na ktu kupanda ila hadhi ya chumba ni kulingana na hela unayoilipia ...advantage ya hapa upo karibu na soko la nywele ..vipodoz ..na nguo ..walking distance na migahawa ya kiafrika ...pia soko la cm halipo mbali


kuna xiaobei ...hii ni kama posta ya guangzhou pia unaweza pata hotel nzur za kuanzia elfu 50 hv 40 kupanda ...advantage upo karibu na masoko


sasa basi una save vipi gharama zisizo za msingi

cha kwanza ...uwe na mwenyej ...wapo watu wanafanya io kaz ya kutembeza watu masokoni ila kwa experience yangu Wazanzibari wana bei ndogo sana kuliko wabongo ....mm nlimlipa mzenj elfu 70 kwa siku 3 kunitembeza masokon wakat wabongo wanataka hadi dollar 100 kwa siku

ishu ya pili ...ya kusave pesa guangzhou ni kununua chakula kwenye migahawa ya wachina (waislamu ) halal restaurants chakula ni close na chetu na nikizur kwa bei chee ...starting price ni elfu 4 hv wakat restaurant za kiafrika vyakula sahan had elfu 30 huko inafika

njia nyingne ya kusave hela guangzhou punguza matumiz ya taxi ...usafr wa gharama ndogo ni Treni ya underground (metro ) hii hadi airport mpaka hotel unayokwenda unaweza unganisha ukalilipa buku 3 au nne na ni umbali tuseme kimara mpaka mbagala hv wakat umbali huo taxi unalipa hadi elfu 60 hv

kingne chochote unachotaman kununua hakikisha upo kwenye soko sahihi ndio utapata bei nzur usione tu kiduka kinauza cm ukadhan ni bei nzur hapana nenda kwenye soko halisi la hio bidhaa utapata bei nzur

kingine ukifika sokon take your time zunguka kabla kufanya maamuz maana bei ni tofaut na wauzaj ni weng sana ...ukipanda taxi hakikisha unatoa pesa kamili .maana madereva taxi huwa wanatoa chenj hela feki sometimes ....usimwamini mtu na mizigo yako ..matapel weng hata waafrika

View attachment 1328791View attachment 1328793View attachment 1328794

mtaj huo 20m unatosha kabisa just go kila lakheri


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu na huko china kuna kupunguziana bei madukani ukilia??
 
Naku(Pm) namba za mchina ( yuko china kiwandani) anadeal na accessories ukichati nae muulize bei ya accessories unazohitaji anaweza pia kukupa mwongozo wa simu unazohitaji
utagundua mtaji wako ni mkubwa mno tena
Naamini utaharakisha zaidi safari yako

All the best mkuu..!
Na Mimi nipm namba naitaji kwenda mwezi wa 4 nifanyie wepesi tafadhari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi nenda china ndio uwakika. Na pia usikatishwe na hao GT P SALALY. Iyo ni pesa ndefu sana kwa kufanya bznes zako china.
Mm nilitishwa sana mwanzoni mwa mwaka huu kuhusu kufata mzigo flani Dubai hatare mara kwa mtaji huo ni nauli na malazi tu mara kama unaenda kutembea sawa.
Ila baada ya kufika nilicheka sana mambo yako tofauti kabisa. Na kila mfanya bznes kama yangu nilie kutana nae na wazoefu uko Dubai wanasema mbona umekuja na kiasi kingi kwa bznes hii.
Tafta marifa sahihi kisha lianzishe mdau. Pambana tu kiongozi
Kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
20m ndo uende Dubai au china?
au unataka kwenda kutembea?
simu aina gani? kama unanua smart phone za laki mbili 20 unanunua simu ngapi?
una duka atayari au ununue ndo uanze tembeza?

Binafsi naona tafuta biashara ingine hapa ya uhakika mtaji hata 15m

5m nenda Dubai katembee ujionee na ujifunze
15 M hata Kkoo kwa wauzaji wa jumla

Nadhani huyu atakuwa ni mwalimu wa mwandiko, anasahihisha matumizi ya L na R
Yan watanzania tuna shida sana ndugu yangu
 
D
Haha lol Inategemea ndugu hotel zipo mpk milioni nne kwa siku apa . Lakini pia zipo elfu hamsini na kuendelea. So Itategemea yeye anakaa mda gn Kama siku mbili tu atakaa hotel km yupo zaid ya wiki or mpk mwezi dola Mia ni best option
Dollar 100 ni kwa siku zote atakazo kaa?
 
kiongozi hiyo pesa inatosha kabisa.Mimi naongelea China sababu ndio niko na uzoefu nako.Nauli inategemea na season.Ila ni ina range kwenye 700$ hadi 1200$,pia kumbuka tofauti ya siku unayokata ticketi na siku unayotaka kusafiri ina matter kwenye bei.ukikata mapema bei inakuwa nzuri kiasi.Kama unataka smartphone (iphone) nyingi ni bora uende Shenzhen Ila kama ni android nyingi ama unataka kuchanganya android na iphone basi guangzhou itakufaa.Hautanunua simu mpya kabsa (0 km) bali utanunua refubrished phone ambazo huko Tanzania ndio "mpya" hizi utanunua soko lina itwa dashatou.Kuhusu malazi kuna sehemu mbili ambazo ndizo wa afrika wengi (wa Tz) hupenda kukaa. Eneo moja linaitwa sanyuanli kwa metro ni line 2,(hili wengi wanaishi wanaokuja kununua nguo),na eneo la pili linaitwa xiaobei metro line 5(hapa kulitokea kashkash before ndo wengi wakakimbilia sanyuali).Bei huwa inaanza 120 RMB hadi 200 RMB kwa single room(kuna hotel unaweza pata kwa 100 RMB,ila huko foreigners wanaoishi ni wachache.Kama si mtu wa kujichanganya patakufaa.Ni sehemu ambako kuna soko la spare parts za pikipiki.)
Kwa mizuguko ya town kama ukiweza kutumia metro ama kujua namba za basi itakusaidia sana.Kwa basi ni 2RMB tu kwa route.Ila metro inategemeaa na unakoenda.Metro is much easier sababu hakuna traffic jam.Kama unataka accessories kuna soko ukienda kwa metro kituo kinaitwa cultural park utapata unachotaka.Lakini zaidi sana uwe mzoefu wa simu na ujue kuzikagua.Wachina huwa hawaamini hadi ajue wewe ni mtu wa kudumu otherwise unaweza ukanunua simu 50 na ukawa na return 30.
Kuhusu kutuma mizigo unaweza ukaenda nazo mwenyewe around pc 30,hizi ndo wanaruhusu ku board nazo.Ila kama ni nyingi unaweza nunua baadhi ya vitu (kama mikoba ya wadada,unaweka smu ndani na unacheki in mabegi)Otherwise ni watumie watuma mizigo wa huku(wanapatikana sanyuani siku hizi)Wata kucharge 10$ kwa kila simu na utapokea Tz kuanzia siku 2-5 toka uwakabidhi mzigo.
Hope nimekusaidia kiasi
hii post yakufanyia lamination
 
Mungu akubariki sana
Nakushauri uende china kwasababu vitu ni bei nafuu sana na utapata idea ya vtu vingne pia

mimi naish huku ila sio guangzhou so nilipata nafasi ya kwenda kutembea guangzhou mwaka jana mwanzon

vitu vya kuwasaidia kwa experience na uelewa wangu kama atakae kuwa anajua zaid atanisahihisha

ticket mm za bei nafuu kabisa huwa nakata STA travels posta karibu na shule ya mtendeni jengo moja na Takims safaris n tours

hapo huwa napata ticket kuanzia laki 7 na ktu one way ya kwenda guangzhou ila ukate mwez kabla


kwa guangzhou inategemea sasa kama unakwenda kwaajili ya canton fair nakushauri ukae (wansheng wei) ni karibu sana na Canton na kama unataka kukaa mbal na maeneo waafrika waliojazana ...hio sehemu ni nafuu kwa hostels sio hoteli lkn hostels ni nzur sana ....anyway since ni mgeni hio sehemu inaweza ikawa mtihan kdogo hivyo waweza kaa (sanyuanli ) hapa kuna hoteli nying na za bei ya chini sana utapata chumba hadi cha elfu ishirini na ktu kupanda ila hadhi ya chumba ni kulingana na hela unayoilipia ...advantage ya hapa upo karibu na soko la nywele ..vipodoz ..na nguo ..walking distance na migahawa ya kiafrika ...pia soko la cm halipo mbali


kuna xiaobei ...hii ni kama posta ya guangzhou pia unaweza pata hotel nzur za kuanzia elfu 50 hv 40 kupanda ...advantage upo karibu na masoko


sasa basi una save vipi gharama zisizo za msingi

cha kwanza ...uwe na mwenyej ...wapo watu wanafanya io kaz ya kutembeza watu masokoni ila kwa experience yangu Wazanzibari wana bei ndogo sana kuliko wabongo ....mm nlimlipa mzenj elfu 70 kwa siku 3 kunitembeza masokon wakat wabongo wanataka hadi dollar 100 kwa siku

ishu ya pili ...ya kusave pesa guangzhou ni kununua chakula kwenye migahawa ya wachina (waislamu ) halal restaurants chakula ni close na chetu na nikizur kwa bei chee ...starting price ni elfu 4 hv wakat restaurant za kiafrika vyakula sahan had elfu 30 huko inafika

njia nyingne ya kusave hela guangzhou punguza matumiz ya taxi ...usafr wa gharama ndogo ni Treni ya underground (metro ) hii hadi airport mpaka hotel unayokwenda unaweza unganisha ukalilipa buku 3 au nne na ni umbali tuseme kimara mpaka mbagala hv wakat umbali huo taxi unalipa hadi elfu 60 hv

kingne chochote unachotaman kununua hakikisha upo kwenye soko sahihi ndio utapata bei nzur usione tu kiduka kinauza cm ukadhan ni bei nzur hapana nenda kwenye soko halisi la hio bidhaa utapata bei nzur

kingine ukifika sokon take your time zunguka kabla kufanya maamuz maana bei ni tofaut na wauzaj ni weng sana ...ukipanda taxi hakikisha unatoa pesa kamili .maana madereva taxi huwa wanatoa chenj hela feki sometimes ....usimwamini mtu na mizigo yako ..matapel weng hata waafrika

View attachment 1328791View attachment 1328793View attachment 1328794

mtaj huo 20m unatosha kabisa just go kila lakheri


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
benjamathayo,
Umesoma hadi darasa la ngapi wewe? Unashindwa kutofautisha matumizi ya L na R, hizo pesa si utaenda kupoteza tu huko?
Nenda kariakoo pale wenye maduka makubwa kaulize elimu kama utamkuta ata mwenye phd uje humu usimulie, nenda mwanza, kahama, mbeya, tunduma kaone watu walivyo na mawe alaf kaulize elimu yao uone...
Tafuta pesa uone kama wenye hyo elimu hawajaanza kujikomba komba kwangu kwa mapambio.
 
Nenda kariakoo pale wenye maduka makubwa kaulize elimu kama utamkuta ata mwenye phd uje humu usimulie, nenda mwanza, kahama, mbeya, tunduma kaone watu walivyo na mawe alaf kaulize elimu yao uone...
Tafuta pesa uone kama wenye hyo elimu hawajaanza kujikomba komba kwangu kwa mapambio.
Tangu lini wenye elimu wakawa na hela
kuna kitabu kinaitwa
"Why A student work for C student 🤣😂
 
Tangu lini wenye elimu wakawa na hela
kuna kitabu kinaitwa
"Why A student work for C student
asilimia kubwa wakulima wenye plantaions hapa TZ hawana elimu kabisa au kama wanazo basi za kuunga unga, wenye viwanda na biashara kubwa mijin na vijijin elimu zao ni za kuunga unga na soletape au hawana kabisa ila wenye elimu wanaenda kuomba vibarua na kazi kwao...
Elimu ni nzur sana ila ukianza kujitamba kwa elimu yako utaonekana mpuuz fanya tu research matajir wa mtaan kwako kaulize elimu zao.
 
Back
Top Bottom