Recent content by mmingano

  1. M

    Bukoba: Msimamizi atimka na vifaa vya kupigia kura

    Alete vifaa vingine wasizingue
  2. M

    Hotuba ya Kikwete imeharibu kabisa ufungaji wa kampeni za Magufuli

    Hotuba tena hata akiongea nani lowasa ndo habari yenyewe
  3. M

    CCM kufunga kampeni zake kisasa zaidi

    Mleta mada mbona mbona umeandika mipasho ya taarabu
  4. M

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Kwa nini mwakyembe achukie utajiri wa lowasa? Kwa ufupi mwakyembe huna jipya kura yangu in lowasa nachukia umasikini
  5. M

    Ujumbe maalum kutoka kwa Dr. Magufuli

    We makufukuli kura yangu hupati mwambie akupigie bulembo
  6. M

    CHADEMA badilisheni Mfumo wenu uendane na mgombea urais

    Usiwe na akili za tope eti gwanda kwani ni lazima lowasa avae gwanda usiwe na akili ndogo
  7. M

    Mbatia ashindwa kuhutubia mkutano Mtwara baada ya kuhofia kipigo kutoka kwa wananchi

    Acheni uzushi jamani ccm mnajipa matumaini na mtwara ukweli ni kuwa ulikuwa ni mkutano uliandaliwa na wasanii wanaomuunga mkono lowasa walikuja kuhamasisha juu ya kumchagua lowasa acheni kupotosha gambazi mtalia kilio cha mbwa octoba25
  8. M

    UKAWA tulieni, mbinu watumiazo CCM hizi hapa

    NI kweli bila chembe ya shaka
  9. M

    Dr. Slaa avuliwa nguo, dili alilipanga Josephine. Alonga na Mwakyembe kabla hajaingia kwenye mkutano

    Jamani nipeni msaada mwenye taarifa ya kwenye gazeti LA mawio haiweke humu tuisomee
  10. M

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Ngoja jf wenyewe waje wajibu.hivi UKAWA wanazindua kampeni jamani
  11. M

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Warioba nae anaongea pumba zake jamani huyu mzee alistahili kubaki kwake
  12. M

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Nimeshangazwa sana baada ya ccm baada ya kujadili hoja zao wanakuja kuwajadili akina lowasa na sumaye hawa jamaa ni kweli wamevurugwa sana kuanzia Leo sina Imani na ccm hawana akili ni kweli chama kimechoka sana kinahitaji kupumzika viva ukawa
  13. M

    Yaliyojiri Agosti 4/2015 katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Ukumbi wa Mlimani City, DSM

    Chadema na UKAWA hadi raha ama kweli ni mpango WA mungu
Back
Top Bottom