Acheni uzushi jamani ccm mnajipa matumaini na mtwara ukweli ni kuwa ulikuwa ni mkutano uliandaliwa na wasanii wanaomuunga mkono lowasa walikuja kuhamasisha juu ya kumchagua lowasa acheni kupotosha gambazi mtalia kilio cha mbwa octoba25
Nimeshangazwa sana baada ya ccm baada ya kujadili hoja zao wanakuja kuwajadili akina lowasa na sumaye hawa jamaa ni kweli wamevurugwa sana kuanzia Leo sina Imani na ccm hawana akili ni kweli chama kimechoka sana kinahitaji kupumzika viva ukawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.