Recent content by Mmewakesifa

  1. M

    Naomba kufahamu Kazi ya Upinzani kwenye Serikali hii ya Magufuli

    Huo ni mtizamo wako mfupi.Ukisema CDM hawana kitu unamaanisha nin?kwani CCM wana nini cha zaida, wao wana serikali ambayo inahitaji upinzani wa dhati ili irekebisha pale ambapo hapajanyooka..CDM ndo wameleta hayo yanayofanyika sahv.
  2. M

    Naomba kufahamu Kazi ya Upinzani kwenye Serikali hii ya Magufuli

    Kuna suala la katiba ni ajenda na.1 ya UKAWA kwa , pia JPM ategemee kupewa makubwa zaidi ya hayo.Upinzani bado unahitajika sana kuliko kipindi kingine.
  3. M

    Wa Mazengo Complex tukumbushane

    Kwa mazigizigi kuoga saa 11 asubuh, Kiranja wa chakula lazima awe mbabe.
  4. M

    Wa Mazengo Complex tukumbushane

    Mnakukumbuka Sudan, Kyue chini tuligoma Eraskto akabeba kengere akaipigia Sudani Dah!
  5. M

    Maduka yote ya dawa nje ya hospitali za Serikali marufuku

    Watatupa wakati mgum tu.Hospital huwa hamnaga dawa huwa zinapatikana nje karibu sasa maduka yakipelekwa ttapata mbali bure bora wayaache ili yafe yenyewe tu
  6. M

    Sema usikike: Kwanini utamchagua Dr. Magufuli au Edward Lowassa?

    Kura yang kwa Lowasa sabab no mfuatiliaji mzur, mwana diolomasia pia tutakomesha tabia ya maccm jujona wote sis ni wajinga tu, wakudanganywa tu.CCM must go
  7. M

    Msaada: Hotel ya bei ya chini Morogoro

    Aika NATO no lodge au shirtimr guest house usimpoteze jamaa mpaka kigurunyembe kote, interview hana kaz
  8. M

    Msaada: Hotel ya bei ya chini Morogoro

    Huku hatufanyi booking we ukishashuka Msamvu, kamata daladala ingia town, uliza top life bar utapata room nzur na misos hapo hapo katikati ya Mji
  9. M

    Per Diem Rates 2015/2016

    Km hujui kitu piga kimya siyo lazima kila post u_ comment mnashusha hadhi ya jukwaa Per DM huijui hta maana yake unaanza kuongea tu
  10. M

    Mbowe: Uteuzi wa wagombea majimboni ulizingatia vigezo vyote

    Tunawatakia kila la heri kwenye safar yao hiyo, wameshachelewa km walikubaliana muda kwanin waibuke Leo?CCM mtatapatapa sana sisi tulishaamua mapambano ni mbele kwa mbele.!
  11. M

    Uzinduzi wa Kampeni za CCM Kibanda Maiti - Zanzibar

    Watake wasitake lazima achinjwe CCM
  12. M

    Hata Baada ya Uchaguzi Sitaitazama Star TV

    I will never watch *TV hata wanangu nawapandikiza chuki waichukie sana
  13. M

    Hatma ya kura za walimu kwa mgombea urais wa tarehe 25 Oktoba, 2015

    Sisi tulishafanya maamuzi kitambo, Tar 25/10 asubuh tunaenda kuhitimisha porojo.Nipo kijijini lakn Nina zaid ya watu 100 kura zooote kwa UKAWA haina mjumbe,diwani,EL ni UKAWaAAAa
  14. M

    Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    Hivo hivo na wiz wake sisi tunamhitaji.Kwan siku zote mlikuwa WAP ktuambia hayo alipojuwa CCM?
Back
Top Bottom