Hata Baada ya Uchaguzi Sitaitazama Star TV

Hata Baada ya Uchaguzi Sitaitazama Star TV

huna ulijualo, we ytaendelea kutazama picha za fisadi mamvi akiwa kapanda holikopta , nadhani itakusaidia kuondoa frustration yako maana ma mvi atashindwa vibaya sana

Habari zenu wanajanvi

Mimi nilikua Mpenzi Mkubwa sana wa Star Tv, kutokana na vpindi vyao vingi vilikua Fair na vya kuelimisha.
Nilikua sijui kama kuna siku watanidisappoint kama wakati huu ninapowahitaji zaidi wanipe habari kwa ufair niliouzoea.

Nashangaa kuona vipindi vyao viko One Sided tu, wanaipendelea CCM pekee, kana kwamba hakuna Vyama vingine.
Hivi sheria zinasemaje kuhusu Vyombo vya Habari kua na Upendeleo?
Au Star TV ni Television ya CCM na je ilisajiriwa kama mali ya CCM?

Naapa mbele yenu hata baada ya Uchaguzi Sitaitazama Star TV
 
Kosa ni ccm ambao wanalipia vipindi ili matukio yao na mikutano yao mikubwa iwafikie watz moja kwa moja
 
habari zenu wanajanvi

mimi nilikua mpenzi mkubwa sana wa star tv, kutokana na vpindi vyao vingi vilikua fair na vya kuelimisha.
Nilikua sijui kama kuna siku watanidisappoint kama wakati huu ninapowahitaji zaidi wanipe habari kwa ufair niliouzoea.

Nashangaa kuona vipindi vyao viko one sided tu, wanaipendelea ccm pekee, kana kwamba hakuna vyama vingine.
Hivi sheria zinasemaje kuhusu vyombo vya habari kua na upendeleo?
Au star tv ni television ya ccm na je ilisajiriwa kama mali ya ccm?

naapa mbele yenu hata baada ya uchaguzi sitaitazama star tv

siasa chafu imeharibu vyombo vya habari,tazama itv the superbrand!clouds tv,channel ten,star tv ,tbc ni upendeleo tu kwa ccm.
 
Dada usijali sana...hata marekani huwezi kukuta Fox News inaelezea story nzuri za Democrats..kama jinsi ilivyo hapa Tanzania huwezi kusikia ITV au chombo cha habari cha yule Mchagga R. Mengi kinatoa story nzuri za CCM.

Hivi haya uliyoyaandika yangekuwa kweli ITV wangekuwa salama? Kiasi/coverage CCM inachopewa ITV bado mnasubutu kulalamika! Siku mkiitwa wapinzani mtateseka sana, kama hivi mnavyokuwa favored bado hamridhiki sijui itakuwaje kipindi hicho nyie wabinafsi wakubwa.
Taarifa zenu zinapewa kipaumbele kila uchwao tunaona kwa macho hatuhadithiwi, siku mkiwa wapinzani mnaweza kufa kwa kihoro.
Pili, star tv ni ya kada wa CCM,
Eti nimesikia (sina uhakika) kuwa huyo kada katangaza free airtime kwa yeyote atakayetaka coverage ya kumtukana Lowasa? Na kisha akadai kuwa atalipa 5m zitakazokuwa fine ya TCRA bila tatizo, which means yuko tayari kulipia fine twice as much kwa yeyote atakayempoza kiu yake ya Lowasa kushambuliwa kwa maneno! Ni ya kweli haya raia wenzangu?
Na kama ni kweli, TCRA wana hii taarifa na wanaionaje?
 
Habari zenu wanajanvi

Mimi nilikua Mpenzi Mkubwa sana wa Star Tv, kutokana na vpindi vyao vingi vilikua Fair na vya kuelimisha.
Nilikua sijui kama kuna siku watanidisappoint kama wakati huu ninapowahitaji zaidi wanipe habari kwa ufair niliouzoea.

Nashangaa kuona vipindi vyao viko One Sided tu, wanaipendelea CCM pekee, kana kwamba hakuna Vyama vingine.
Hivi sheria zinasemaje kuhusu Vyombo vya Habari kua na Upendeleo?
Au Star TV ni Television ya CCM na je ilisajiriwa kama mali ya CCM?

Naapa mbele yenu hata baada ya Uchaguzi Sitaitazama Star TV

star tv hawajielewi
 
Habari zenu wanajanvi

Mimi nilikua Mpenzi Mkubwa sana wa Star Tv, kutokana na vpindi vyao vingi vilikua Fair na vya kuelimisha.
Nilikua sijui kama kuna siku watanidisappoint kama wakati huu ninapowahitaji zaidi wanipe habari kwa ufair niliouzoea.

Nashangaa kuona vipindi vyao viko One Sided tu, wanaipendelea CCM pekee, kana kwamba hakuna Vyama vingine.
Hivi sheria zinasemaje kuhusu Vyombo vya Habari kua na Upendeleo?
Au Star TV ni Television ya CCM na je ilisajiriwa kama mali ya CCM?

Naapa mbele yenu hata baada ya Uchaguzi Sitaitazama Star TV

Hata mimi pia na nashukuru kwa kunisemea! Dialo na kundi lake hawana maana!
 
Mimi nimeiacha kitambo yaani TV yao imekuwa mbaya sana, skuizi ni TV zote kwa ufupi ata ITV mimi nimeacha ni wanfik tu wamerubuniwa kurusha matangazo ya CCM
 
nashukuru Halima mdee kutokwenda leo pale yaan wanawekaga makada wa ccm kupiga kampen
 
Hivi kuna namna ya kuiblock kwenye king'amuzi cha startimes?
 
We muumini wa Mbowe..South Africa ni moja ya nchi hapa Africa iliyopata uhuru mwishoni kabisa and yet, iko mbele sana kimaendeleo! Hii pekeyake itakulazimu urudi kwenye historia ujaribu kupata jibu la kwanini nchi za africa bado maskini.. sitaongea mengi, nakishauri tu uruhusu oxygen humo kichwanikwako ili huo ubongowako ufanye kazi ipasavyo la sivyo utakuwa kichekesho mjini

Mkuu South Africa ilipata uhuru kabka ya Tanganyika, unachokizungumzia nadhani sera ya ubaguzi wa rangi, uwe unatumia hata Atlas mara moja moja kujua nchi ipi ilipata uhuru lini?
 
mm nafamilia yangu huwa tuna tazama ITV NA AZAM TV
 
wala usijali. baada ya uchaguzi utaitazama tu pende usipende.


Habari zenu wanajanvi

Mimi nilikua Mpenzi Mkubwa sana wa Star Tv, kutokana na vpindi vyao vingi vilikua Fair na vya kuelimisha.
Nilikua sijui kama kuna siku watanidisappoint kama wakati huu ninapowahitaji zaidi wanipe habari kwa ufair niliouzoea.

Nashangaa kuona vipindi vyao viko One Sided tu, wanaipendelea CCM pekee, kana kwamba hakuna Vyama vingine.
Hivi sheria zinasemaje kuhusu Vyombo vya Habari kua na Upendeleo?
Au Star TV ni Television ya CCM na je ilisajiriwa kama mali ya CCM?

Naapa mbele yenu hata baada ya Uchaguzi Sitaitazama Star TV
 
Huwa mnasema hamangalii lakini kkkitokea kitu kwenye tv hiyo mnaanza kukosoa. Huwa nashindwa kuelewa mnaoteshwa au mnadanganya nafsi zenu. Acheni ushabiki wa kisiasa unaoumiza nyoyo zenu tufanue kazi ili watoto waende shule upate chakula nyumbani na mambo mengine kwani TV utaacha kuangalia wewe lakini makampuni yana peleka matangazo jamaa anafanya biashara wewe utakuwa umemkomesha nani. Ni mtazamo ndg zangu.
 
Back
Top Bottom