HK ni miongoni mwa wana CCM wengi wenye uwezo wa kawaida sana. Juzi hapa kaambiwa na Wakili msomi TL kwamba hoja yake is not well thought. Akapanic akaja kumtukana TL ili apate umaarufu. Kuonyesha umburula akamtangaza TL kama adui wa vijana. Who is HK kuwasemea vijana? By the way vijana wana...
Ndugu yangu Mozila...CCM ina sura ua dubwana kubwa kitasisi...imejisimika katika siasa za nchi kwa muda mrefu na kwa rasilimali nyingi za halali na haramu...iko madarakani kwa sababu halali na haramu...
Kuliondoa dubwana CCM sio kazi rahisi....nikubaliane haraka yeye sio wa kwanza...
Habari iliyotapakaa katika corridor za habari za siasa ni kujiuengua kwa Millya toka CCM na kuhamia CDM. Habari yenyewe inachokonoa mjadala kwa sababu zifuatazo
1. Millya alikuwa difficult person from his party (Rejea kesi yake na Sendeka na ugomvi wake wa kudumu na makundi mengine ndani...
Mwandishi angeweza kupata uhalali kwa kujitofautisha na anaowaita "baadhi ya wahuni".
Kadri anavyojibizana na watu humu, anaonesha tofauti ya kiwango cha uhuni.
Kwanza nikiri si halali kwa mtu/watu kuzuiawengine kufanya kazi, hii si halali kwa mwandishi wa StarTV, BBC, TBC vile vile si sawa...
Sitta aache unafiki na utoto...wote ni wamoja na unganiko lao ni la imani na maslahi. Kama kweli amesema, maadili ingekuwa mojawapo ya mambo ndani ya CCM alipaswa kuwajibishwa
Safi sana Wabunge:
Sasa huu uwe mwanzo mwema. Simamieni vizuri mambo yafuatayo
Ubungo Bus Terminal
Maeneo yote ya wazi sehemu mbalimbali
DAWASCO
Na mengine yote mtazidishiwa
Siasa za Umwinyi, kwenda kwenye misiba, kwenda msondo na kugawa jezi sasa basi, pigeni kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.