Kodi siyo shida kama unamzunguko. Maana ukiwa unapata kodi siyo yakuogopa. Wakina Mo wanalipa mabilioni kodi na wanapata zaidi. Ukichanganya na miamala ya pesa. Faida za miamala zitalipa kodi zote
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Faida ndogo sana kweli, lakini ukikaa mahala pake siyo ndogo tena, kwani linamzunguko mkubwa. Ukikaa sehemu yenye mzunguko.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hii biashara itategemea wapi umefungua na uwingi wa wateja. Kuna watu wanafanya na inawalipa sana na pia inategemea umeweka shilingi ngapi? Kuna watu wana mauzo ya siku mpaka milioni 2 hakosi laki faida
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nimesoma comments za watu wote humu. Wengine wamekomenti ila bila kujua au kufanya hii biashara. Biashara hii ukikaa sehemu nzuri, mtaji mzuri angalau 7M mpaka 10M na ukawa na mauzo yasiyopungua laki 3 mpaka 5 kwa siku. Na upo serious ucheki na wateja. Lazima utoboe.
Hawa wanaokatisha tamaa...
Thanks kwa majibu mazuri.
Je, target kubwa hapa wawe wafanyakazi wa serikali au wafanyabiashara ndogo ndogo. Kwa uzoefu wako, kundi lipi halina changamoto sana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.