DSTV ingekuwa yako wewe ungekubali kuchaji kwa madafu yetu yasiyo stable kila siku yanashuka bei. Mbona pia hulalamiki petrol station tunanunua mafuta kwa dola na tunatangaziwa kabisa na wahusika. Na ndio maana kila muda bei za mafuta zinabadilika au kwa sababu unalipa madafu ........
Dokta PADRI SLAA kuiba wake za watu alianza na umri gani.mimi sioni cha ajabu coz hakuna mtu perfect. Kina obama wamekiri amewahi kuvuta bangi itakuwa kikwete ambaye sio padri
<br />
<br />
Kama hujui gharama za kusafirisha maiti uliza au kaa kimya kuliko kuja na figure zako za kukisia. Hapa hapa tanzania hebu jaribu kukodi gari let say fusso harafu waambie unataka kusafirisha maiti au mzito . Harafu angalia tofauti ya bei. Na ndege ndio hivyo hivyo kusafirisha ni...
Kwani tatizo ni nn ? Je haja attend darasani? Hakufanya mtihani? Haja graduate university. Hivi linalosoma ni jina au mtu. Kwa marekani ukitaka kubadili jina ni anytime. Mrekma akiwa na diploma tu alikuwa waziri wa mambo ya ndani. Mbona hamzungumzii fail form 4 joseph mbilinyi sasa ni mbunge na...
Wewe mwenyewe si una uchungu . Vipi umeenda kuzika. Au kwenye key board yako. Umekaa kwenye computer kumtafuta wa kumrushia lawama . Au akizikwa na rais nini kitaongezeka kwa marehemu. Pole kwa stress nadhani utakuwa huna ajira
Wa tz bwana wenyewe wanawaza maisha rahisi na kula bata. Wakipata ajira wanawaza kuiba au kupata pesa kubadili magari na wanawake.baadala ya ku save kusaidia ndugu na jamaa masikini wanaomzunguka .hiyo ndiyo wanavyofanya wahindi wana save na kusaidiana . Nyie kusaidiana kwenu ni michango ya...
Acheni ubaguzi. Mbona kuna wa tz ni ngumu sana kuishi nao au kufanyanao kazi.....je umeshawahi kufanyakazi kwa muhaya au kampuni ya familia na owner ni muhaya au mchaga harafu wewe sio kabila yao. Kama hujawahi uliza au nenda then njoo ulete jibu
Ungekuwa na akili timamu usingeingiza siasa kwenye msiba. Hivi ni msafara gani wa rais duniani uliwahi kusimama baada ya kusababisha ajali? Na wizi wa kura umeingiaje hapo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.