Nini mana ya kupiga kura kwa sisi wafrika?.....kaa tafakari utagundua mana ya kupiga kura kwa mwafrika ni kumpa ulaji ambao hajawahi kuufikira katika maisha yake kabla hajachaguliwa kua kiongozi(Kumpa tiketi ya kwenda kutatua matatizo yake binafsi na si ya nchi).Na ndio mana viongozi wengi wa...
Dada usiwaze sana khs mumeo hata km unampenda kwa vile imetokea hvyo ww anza kuwaza maisha ya mtoto wko badae na si mwanume ambae mda wowote mnaweza kuachana na ukijikuta umeambulia patupu mf umekosa mme na nyumba huna.kwavile hatak kukuambia ukwel punguza kumpa ela hyo mwanaume mpe ya nauli na...
Acheni kulalamikia jasho letu.sie tunafanya kazi sana na tunapata hela sana na tunatoa sadaka/malimbuko sana na ndo mana tuna uwezo wa kujenga hosp,schools n.k
Na nyie igine hivyo na mtafanikiwa.
Amen.
1.ulikulupka kuolewa nae kabla ya kufanya tafiti ya IQ yake.
2.huyo mmeo is not visionary person he only think of today,so, is not good to you,your kid and your future because he fail to stand as a man in the family.
1.mfanyie councelling na kumuuliza kuhusu matumiz yake na mshahara...
U'brilliant ktk mambo gani unayoyazungumzia!km unaona huyo kiongozi ni brilliant basi ww utakua KILAZA sana na uwezo wa kufikiri ni mdogo ndo mana unamuona brilliant!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.