Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
bangi za ukubwani zinakuzingua
Jamani eeeeh, hata uchaguzi wa CCM hajapita, akishindwa uenyekiti je, utaendelea kumuunga mkono??
kwani anashindana na nani kwenye hiyo nafasi?Jamani eeeeh, hata uchaguzi wa CCM hajapita, akishindwa uenyekiti je, utaendelea kumuunga mkono??
kAMA UNAMPENDA SANA KAMPE
Nakubaliana na wewe lakini nadhani agombee nafasi ya
uwaziri wa mambo ya nje ili amalizie kutembelea nchi
ambazo hajawahi kufika. Bravo...
kweli kama anampenda si akampe??
"Kwa dhati kabisa napinga ukomo wa uongozi eti kuwa miaka 10. Kwa kiongozi kama JK ambaye ni hazina kubwa ya Taifa, nadhani bado anastahili kupewa nafasi nyingine ya kugombea. After all, bado kijana, bado CCM na Taifa linamhitaji kiongozi huyu mahiri. Hata EA tunamhitaji sana. Mbona Kagame aliongeza muda, Museveni nk, mbona uingereza mama wa demokrasia hawana ukomo, sioni kama ni dhambi katiba mpya ikampa kiongozi huyu mpendwa nafasi ya kugombea ili aweze kutimiza yale ambayo hawezi kuyatimiza. Muhimu zaidi, itawanyongonyesha akina Lowassa na kuwazuia kabisa kuingia kwenye power." CCM itanusurika na will return to winning ways if this brilliant leader is allowed to stand again. Tunamwomba Rais Kikwete afikirie kuhusu maombi yetu hatya sisi watanzania tunaompenda sana.
kwani anashindana na nani kwenye hiyo nafasi?